Recent content by Tr Paull

  1. T

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kusoma kitabu kipi kizuri hadi hivi ukikikuta unatamani ukinunue?

    1.The Godfather by Mario Puzo 2.Wizard of the crowd by Ngugi Wa thiong'o
  2. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lembrus Mchome: Nimemshauri sana Heche lakini hashauriki. Viongozi wengi wamejaa ghilba , viburi na jeuri

    Napigilia msumari ,kutoa ushauri ni jambo moja ,anayepewa ushauri ni hiyari yake aufanyie kazi au asiufanyie.
  3. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole amshauri Rais Samia asichukue fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 2025

    Naomba nieleweshwe anamshauri mama asichukue form vipi wakati tayari mama ni mgombea rasmi au mchakato unarudiwa?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Waliotajwa na Polepole na Gwajima kuwa mlizungumza nao andikeni Wosia kabisa

    Hongera sana kusoma The Godfather
  5. T

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM 'walioanguka' kura za wajumbe

  6. T

    JamiiForums Tanzania Admin wa Tume Huru ya Taifa Uchaguzi amefanya kwa Makusudi au ndio ukweli? Chapisho lililopo kwenye tovuti lina makosa ya uandishi!

    Bariliwa sana ,nitakisoma japo nikienda bookshops huwa sizipati kirahisi ,nitakitafuta online.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Admin wa Tume Huru ya Taifa Uchaguzi amefanya kwa Makusudi au ndio ukweli? Chapisho lililopo kwenye tovuti lina makosa ya uandishi!

    Mkuu hongera sana kukisoma hicho kitabu Wizard of the crow kwa jinsi nilivyokuwa kinakaribiana kabisa na siasa za EAST AFRICA nimekisoma mara Tatu bila kuchoka .Mwishoni niliumia sana Machokali kupotezwa .
  8. T

    JamiiForums Tanzania Jamii forums wamebadili logo Yao

    Nimeteseka sana kuitqfuta jf kwenye simu yangu ,maana nili-update all apps badae nakuja naanza kuitafuta kwa kukariri logo ya zamani halafu logo mpya naiona lakini naipuuza like ni app imeji-install 😄
  9. T

    JamiiForums Tanzania Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

    Ndio anazo , that's why 2020 aligombea.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Njia pekee ya Polepole kuimarisha uongozi nchini ni kujiunga na Chadema au ACT Wazalendo kama mgombea uraisi asaidie kupata wabunge wengi wa upinzani

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa sana la fikra zinazofanana na andiko hili ? Yaani mwana-CCM akinyooka au akitoka CCM anaonekana anafaa kugombea urais upinzani ?
  11. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuna uwezekano mkubwa sana kukawa na uchaguzi baada ya uchaguzi

    Maybe amemaanisha TAL
  12. T

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Kassim Majaliwa kwa jambo lipi?

    Dah
  13. T

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Mtu akinifungulia code ya "brother" nitashukuru sana
Back
Top Bottom