Recent content by TPP

  1. TPP

    Wanafalsafa maarufu zaidi wa Uchina(China)

    Hawa ni wanafalsafa wa mwanzo ulimwenguni na wanatambulika na sehemu kubwa ya dunia katika kujenga misingi imara ya jamii. Wewe huwafahamu ? Habari zao hujawahi sikia kabla ?
  2. TPP

    Wanafalsafa maarufu zaidi wa Uchina(China)

    Wengine ni kama;- - Zhu Xi -Zhuang Zhuo -Xun Kuang -Shang Yang Zhu Xi (1130 - 1200 ) Zhu Xi ni miongoni mwa wanafalsafa wa kichina maarufu zaidi. Zhu Xi (1130 -1200 ), Alikuwa mtu anayetunga maandishi, mwanahistoria, mwanafalsafa, mwandishi wa mashairi, na mwanasiasa wakati wa nasaba ya Song...
  3. TPP

    Wanafalsafa maarufu zaidi wa Uchina(China)

    Confucius (551-479 KK) Confucius ni mwanafalsafa maarufu zaidi wa kichina. Confucius (551 - 479 KK) alikuwa mwanafalsafa na mwanasiasa wa kichina katika kipindi cha masika na kipindi cha mapukutiko ambaye kwa kawaida anachukuliwa kama mfano wa hekima ya kichina. Mafundisho na falsafa ya...
  4. TPP

    Kikwazo ambacho Marekani aliyomuekea Uchina kimemrudia mwenyewe

    Teknolojia ya utengenezaji wa semiconductors ni advance china ipo katika maboresho ya kitafiti kuhusu utengenezaji wa most advanced semiconductors hivyo haija kwama
  5. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    Kuruhusu ongezeko kubwa la watu hasa Tanzania pasipo kutazama muelekeo wa dunia ni upi katika mapinduzi ya kiteknolojia hii haiwezi kuwa sera bora. Sera hio itaongeza masikini wengi wa kudumu kwa miaka mingi na inequality kubwa itatokea
  6. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    Pamoja yakuwa umerushia maneno ya kuudhi haipaswi kuwa sababu ya kushindwa kukusikiliza. Haipaswi kuutazama umasikini kwa kuwa na ukubwa wa eneo la nchi bali tunapaswa kuutazama wingi wa watu na hali kiuchumi ipo vipi ? Watu wanapo kuwa wengi na hali ya kiuchumi haiendani na huo wingi wa watu...
  7. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    Hayo yanakuwa maisha ya mchezo wa kubahatisha. Umasikini hapaswi kushindwa kwa mbinu za mchezo wa kubahatisha
  8. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    Kuna familia nyingi Tanzania zenye watoto wengi zisizo weza wahudumia kwa pato la siku na mwaka likiwa la chini sana huu ni umasikini mkubwa na wenye madhara makubwa kwa miaka mingi ijayo
  9. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    Umezungumza kuhusu Chairman Mao " a large population makes the strong nation". China ilikabiliwa na extreme poverty ya zaidi ya watu 800mln imetumika zaidi ya miaka 40 kushindana na hali hio ila bado serikali ina pambana kuongeza pato la wananchi kwa jitihada za pamoja. Deng aliweza kuzuia...
  10. TPP

    Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

    China hali ya umasikini na population kubwa iliwahi kuisumbua na kusababisha madhara makubwa sana hata sasa bado tatizo la wingi watu pia kwa baadhi ya maeneo laisumbua serikali katika kupambana na umasikini na tatizo la kazi
Back
Top Bottom