Simba na NBC ni kama kiuno na mkanda tangu enzi hizoooo jezi la mnyama simba likiwa limechafuka kama kawaida kitendo ambacho siyo rahisi kukuta kwenye team zinazofanya vibaya kuvutia sponsors wa kuchafua jezi.
Pichani ni Mnyama Pawasa akiwa ametinga uzi wenye twiga mwekundu vilevile ni vyema...
Nimeona picha ikizunguka mtandaoni watu wanaomba wamuone mahakamani naye apandishwe kizimbani.
Narudia tena: INADAIWA kuwa ndiye yeye.
Utata umeibuka alipo mmoja wa watuhumiwa katika kesi ya kufadhili ugaidi inayomhusisha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, aitwaye Moses Lijenge...
Kwa waliokuwa majirani zake enzi hizo hawatashangaa sana maana hata yule mke wa mwingine kipindi hicho jamaa akiwa choka mbaya sana alikuwa anamvurumishia makonde na matusi mazitomazito juu yake.
Hata baada ya simba kumpa maisha na connections na standard ya maisha ku improve bado dada alikaza...
?2025 tena si bora hata kikwete alikuwa ana ka demokrasia cha uongo na kweli, huyo unayemlilia ndiye kasababisha hata wabunge hawana hofu tena wanajua wakurugenzi na polisi watawapitisha kinguvu kura hazina maana tena Magufuli alikuwa anadharau hivi vitu haya ndo madhar ayake sasa
Tafuta kazi ya kufanya mbona hatujui hata unazo threads ngapi kwani limit ya kuanzisha threads ipo?
Punguani wahed hujui jf ni users generated contents kama hujui kuanzisha threads tulia usome za wenzako na wapi walikuambia servers zao zimejaa?
Sasa hata kama mtu poa ndo ampangie makamu mwenyekiti mwakalebela jikoni kuosha vyombo
Inasemekana jamaa mda wote picha inapigwa hakutakiwa kutoka jikoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.