Recent content by toure

  1. T

    Msaada: Ninasumbuliwa na vitu kutembea nyuma ya bega la kushoto

    Naomba soma inasababishwa na nini?
  2. T

    Msaada: Ninasumbuliwa na vitu kutembea nyuma ya bega la kushoto

    NImekuwa nikisumbuliwa na vitu kutembea maeneo nyuma a bega la kushoto zaidi miaka 15.. Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka kuna vitu vinamtembea lakini nilipuuzia. Ila sasa naona kama haviishi kwa mwenye experience inaweza...
  3. T

    DOKEZO TRA hawatumii mifumo ya IQS kujibu Clearing Agent

    Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza kero labda kama kuna case ya kuonana. Hii imepelekea walio na maofisi mbali na One stop center kupata...
  4. T

    Askofu Gwajima aitwa kujieleza Polisi kesho (Mei 08, 2019)

    hawa wapuuzi mbona matukio mengine hawafatilii na yakisenge kinoma
  5. T

    Msekwa chunga mdomo wako; Inakuwaje unalaumu Katibu Mkuu kumuita mwanachama kupitia jukwaani lakini hauongelei mwanachama kumjibu kupitia mitandaoni?

    Kichwa cha habari tu ni mbumbumbu aisee kama mwalimu wangu wa history haendelei kusoma ndani.namie sihitaji kusoma ndani
  6. T

    Uchambuzi wasafi show ya Iringa (kashasha wa mziki)

    SHOW YA IRINGA: Show ya jana ya Wasafi wamejitahidi sana kuimprove... Vile vile kubadilisha hasa suala la kupoteza muda... Vilevile katika kuchagua list ya wasanii, suala ambalo wasafi inabidi walizingatie bado... Wataweza hili kwa kufanya tafiti yakinifu kabla ya show, kazi ambayo Daudi wa Kota...
  7. T

    Msaada wa Ajira yoyote

    Hawa viumbe nikusaidia nakuachana nao.ni waajabu sana
  8. T

    Msaada wa Ajira yoyote

    Thanks
Back
Top Bottom