Punguza uchawa kwa ccm we bro!! Muda mwengine kausha pita kimya kimya usikubali kujizalilisha kwa hawa watu wq ccm!!! Yani lissu asilisemee hilo kwa nini?
Sio tu afungwe uko jela nae akaliwe kama alivyofanya kwa kijana mdogo huyu!!! Hili jamaa sijui vipi, hivi hii mizuka yakumuingia mwanaume, wanaume huwa tunaitoa wapi? Huyu akikamatwa nae huku jela akaolewe
Kama chama mnajiaribia kwa wananchi angalieni mlipo jikwaa mrekebishe, sio kuwapa vitisho wana chama!!!! Mwenyekiti kazingua na yeye anajua msiuze utu wa watu wenu na mkataka kuungwa mikono, rekebisheni mkataba wanachama watarudi,
Moto hauzimwi kwa moto mkuu
Sasa na wewe usichanganye dini na siasa yamesomwa kanisani yanakuhusu nini ya kanisani? Em tulia mkuu hakuna wakukiwasha kwenye hii ichi ila unatakiwa kujua mkataba ni mbovu na tumeugomea.....
wewe ukubali na ukiwa uko ulipo waambie umeukubali....
Are you serious mkuu? Yani upo serious na raisi samia? Hivi ingekuwa wewe ndo umefanya hili alilofanya ungeongea nini?
Kimya chake ni kuona watz kumbe wana akili maana alishatuuza!!!! Sasa kila kona anapigwa misumari..... (muungwana akikosea huchutama)
Mama samia kachutama tayari, hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.