Kama watoto wote ni wa baba mmoja hamna shida hata kidogo wewe kula vizuri umnyonyeshe mtoto kwa kwenda mbele. Kama ulichepuka utambemenda mtoto usimnyonyeshe kabisa mpe maziwa ya ngombe
Kakojoe ulale. Ukitakiwa kuthibitisha mahakamani kuwa waliokuja kwako wametumwa na EL utasema nini? Unachoona na kusikia unapaswa kuchanganya na yakwako kama unazo
Jana kabla na wakati wa mjadala wa mzee wetu mtukufu Warioba umeme ulikatwa karibu maeneo mengi ya hapa arusha na pengine na mikoa mingine na baadae ukarejeshwa baada ya mdahalo kumalizika. Leo tena tumekatiwa maeneo mengi ya arusha na moshi nadhani utarejeshwa baada ya kikao cha bunge au...
Baada ya kipindi cha maswali na majibu leo asubuhi Mwenyekiti wa Bunge wa kikao cha leo Mhe. Zungu aliwatambulisha wageni akiwemo mke wa Kafulila na kuongezea kwamba ni kada wa Chadema jambo ambalo nimeliona kuwa ni ukomavu mkubwa wa kisiasa wa Mhe. Kafulila. Big up Mhe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.