Recent content by TOSALINDO

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kazini Law Secretary, AG office

    Mdau wadadawanne hizi tuhuma zako mbona zinatia mashaka lkn, mbona huziweki vizuri ili zieleweke sawasawa lkn km ni za ukweli? Kwa sababu unaongea vitu vingi kwa wakati mmoja ukichanganya na vingine ambavyo kama ni vya kweli ulipaswa uwe ulishaviongea toka siku za huko nyuma (i.e mzee fulani...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ajira secretariati ya ajira ni za kupeana

    Lkn mdau mbona hizi misconduct mnaziripoti too late lkn jamani wkt interview ilishafanyika ni muda mrefu uliopita mpaka sasa? Isije ikawa uko aggrieved kwa sababu tu wewe hujapata hiyo nafasi, kwani tukumbuke pia ndg zangu kwamba hakuna matokeo na wala hakuna chombo kinachoweza kutoa matokeo...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ajira secretariati ya ajira ni za kupeana

    Wameita kupitia njia gani mkuu wkt ht kwenye website yao hawajaweka majina?..
  4. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jamani kwani kusoma sio kujua kila kitu...

    Hivi ni kweli kwamba mwanaume ili uonekane unajua mambo ya 6 kwa 6 lazima uwe hodari wa kwenda chumvini?... kwa mana kwamba km huendi chumvini huwezi kumfikisha mwanamke kunako na unaonekana we hujui mapenzi??...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Greetigs

    thanks, we are together.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Greetigs to all Jf members.

    I am a new member, and this is just to say hello to you all!
  7. T

    JamiiForums Tanzania Greetigs

    I am a new member and this is just to to say hello to you all!
Back
Top Bottom