Recent content by Toptech

  1. T

    Agiza Spair za EUROPEAN Cars kutoka South Africa kwa gharama nafuu mno

    Wana JF, Habari ya leo. Kwa wale mnaomiliki magari ya ulaya haswa ya kijerumani mnaelewa ugumu wa kupata spair Tanzania. Nimeamua kuwaondolea adha hii kwa kuanzisha huduma maalumu ya manunuzi ya spair yoyote inayopatikana SA. Namna ya kuagiza ni kuwasiliana nami kupitia namba ya whatsapp pekee...
  2. T

    Je utendaji wa Magufuli unafilisi Watanzania?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. T

    10 points to success

    No 4 was to be no 1
  4. T

    Hii staili ya Yono Auction kukamata magari binafsi kwenye vituo vya Daladala ni haki au uonevu

    Walishanikamata siku moja pale kamata pembeni ya maliasili, nikagoma kufungua milango na hawakuweza kuingia kwenye gari. Nilishusha kioo kimoja tu cha dereva. Wakaanza kupiga gari nishuke, foleni ilivyotembea nikaondoka zangu hawakuweza kunidhibiti. Siku hiyo ndio nilijua kuwa kupaki kituoni ni...
  5. T

    Kiwanja Kilichopimwa kinauzwa Kigamboni, Mbutu

    Eneo la ukubwa gani takriban limepimwa? Ni mradi au upimaji binafsi?
Back
Top Bottom