Recent content by Toosweet

  1. Toosweet

    Ninapinga CHADEMA kumteua Ndugai kuwa Mgombea Urais 2025

    Unaota ndoto baada ya kulewa gongo. Hovyo kabisa...
  2. Toosweet

    Video: Ushahidi wa Jinsi Majeshi ya Tanzania yanavyotumika kuibeba CCM

    Wewe una mtindio wa ubongo kwa kukanusha yaliyo dhahiri. Tafuta kazi,acha kuitegemea CCM,utaaibika.
  3. Toosweet

    Lipumba: Mihemko ya Tundu Lissu itaiharibia CHADEMA

    Mtu anayemquote Lipumba na kumpa uzito ana akili za kuku,anawaza kuchimba wadudu na kudonoa.
  4. Toosweet

    CHADEMA ilimalizwa na Magufuli, sasa tujielekeze kuidhoofisha ACT Wazalendo

    Utakuwa mgonjwa wa akili.CVM Haina uwezo wa kuiua CHADEMA.Imeshindwa mara zote na inajaribu kutumia msajili na kamati yake feki...
  5. Toosweet

    Video ya Mahubiri ya Askofu Mwingira yaondolewa mitandaoni

    Mtu anayedhani anakosolewa kwa dini yake hana tofauti na muuaji.Una akili za mbuzi,nenda kaishi Iran au Somalia
  6. Toosweet

    Video ya Mahubiri ya Askofu Mwingira yaondolewa mitandaoni

    Watumishi wanaotema nyongo ndiyo watumishi halisi.Hawajikombi.Kama rais ni shetani lazima asemwe,hayuko juu ya sheria
  7. Toosweet

    Kwanini CHADEMA hampendi ACT-Wazalendo ifanye siasa zake?

    Kwani CHADEMA Ina Dola mpaka imzuie Zitto? Kama umetumwa,SEMA
  8. Toosweet

    Tumemdhihaki Magufuli, tunapaswa kutubu

    Ukitubu wewe peke yako inatosha
  9. Toosweet

    Ushauri: Polepole hamia CHADEMA ili urejeshe heshima ya CHADEMA kama chama kinachopinga ufisadi

    Aliyekwambia CHADEMA imekosa heshima na inamtegemea Polepole ni nani?Acha kuhangaika, huna lolote zaidi ya njaa za msimu.
  10. Toosweet

    Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

    Kuongezeka kwa chawa wa Samia no hatari kwa nchi.
  11. Toosweet

    Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Rais Samia

    U Una kichaa?
  12. Toosweet

    Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

    Kuna thread nyingine zina upigadebe 100%
  13. Toosweet

    Kesi ya Mbowe: Faraja iliyoje kupokea ugeni Mzito

    Atakapotoka utageuka kituko kama Musiba
  14. Toosweet

    Mohamed Said ana siasa za kulialia

    Hata Waislamu wakiwa 98% katika nchi bado watalalamika kuonewa au kubaguliwa.Iko kwenye damu
Back
Top Bottom