Castr
Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu.
Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman.
Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
Hahaaa niamini Mimi hakuna aliye "hapa" baadhi huku na kule.
Dhana ya uoga na ujinga imekuwa kama sifa kuu isiyozungumzwa hadharani inayotufanya tuonekane tuna amani
Kuna vitu hutakiwi kuamini ila kuvipima kwenye mizani ya mantiki.ushupavu wa kiongozi hauondoi Hali halisi ya watu wake ila unaweza kutoa "cover" ya muda ila akiondoka taifa linakuwa exposed.
Nani anapenda kutambuliwa kwa sifa ya ujinga au uoga? hata Mimi sipendi na wewe pia hupendi
Kuna kiongozi Mmoja ndani ya Afrika mashariki aliwahi mwambia kiongozi wa Nchi yetu nyakati hizo kwamba anaongoza "maiti".
Ilikuwa lugha ya kuuzi,kukera,kudhalilisha na kushusha utu wetu.lakini ndani kabisa ya Ile kauli kulikuwa na ukweli ulio wazi. Watanzania tunadhani kuletewa maendeleo na...
Ila
Ila msingi wa viapo vyote ni kulinda na kutumikia TAIFA.hii tabia mpya ya kulinda na kutumikia mtu au chama badala ya taifa imeanzia wapi?Nini chanzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.