Recent content by toobiter

  1. toobiter

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na refer post yako ya jumatatu
  2. toobiter

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Castr Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu. Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman. Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
  3. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Mkuu una uhakika hii ni Jana ?
  4. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Hahaaa niamini Mimi hakuna aliye "hapa" baadhi huku na kule. Dhana ya uoga na ujinga imekuwa kama sifa kuu isiyozungumzwa hadharani inayotufanya tuonekane tuna amani
  5. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Looks like it's the time to release the hidden beast
  6. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Kuna vitu hutakiwi kuamini ila kuvipima kwenye mizani ya mantiki.ushupavu wa kiongozi hauondoi Hali halisi ya watu wake ila unaweza kutoa "cover" ya muda ila akiondoka taifa linakuwa exposed. Nani anapenda kutambuliwa kwa sifa ya ujinga au uoga? hata Mimi sipendi na wewe pia hupendi
  7. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Ujinga ni mtaji ila uoga ni bahasha
  8. toobiter

    Ujinga na Uoga: Je, hii ndiyo tafsiri ya AMANI kwa watawala?

    Kuna kiongozi Mmoja ndani ya Afrika mashariki aliwahi mwambia kiongozi wa Nchi yetu nyakati hizo kwamba anaongoza "maiti". Ilikuwa lugha ya kuuzi,kukera,kudhalilisha na kushusha utu wetu.lakini ndani kabisa ya Ile kauli kulikuwa na ukweli ulio wazi. Watanzania tunadhani kuletewa maendeleo na...
  9. toobiter

    PostGE2025 Hoja ya uzalendo na kupenda Taifa: Je, tunalinda mtu, chama au TANZANIA?

    Inafikirisha sana.huenda tukapata mtu mgumu na asiyetabirika
  10. toobiter

    PostGE2025 Hoja ya uzalendo na kupenda Taifa: Je, tunalinda mtu, chama au TANZANIA?

    Ila Ila msingi wa viapo vyote ni kulinda na kutumikia TAIFA.hii tabia mpya ya kulinda na kutumikia mtu au chama badala ya taifa imeanzia wapi?Nini chanzo
  11. toobiter

    PostGE2025 Hoja ya uzalendo na kupenda Taifa: Je, tunalinda mtu, chama au TANZANIA?

    Chama na serikali vimetengeneza muunganiko tata
  12. toobiter

    PostGE2025 Hoja ya uzalendo na kupenda Taifa: Je, tunalinda mtu, chama au TANZANIA?

    Ila utu una tabia na rangi nyingi mkuu.?
  13. toobiter

    PostGE2025 Hoja ya uzalendo na kupenda Taifa: Je, tunalinda mtu, chama au TANZANIA?

    Kwahiyo uzalendo wao ni kwao wao wenyewe na familia zao. Kwani wanafundishwa Nini huko CCP juu ya "uzalendo"?
Back
Top Bottom