Nyakati ngumu hutengeneza watu Madhubuti ili kukabiliana na mazingira ya nyakati ngumu.
Watu Madhubuti hutengeneza nyakati nzuri,lakini na za kupendeza kwa Kila mtu.
Nyakati nzuri hutengeneza watu laini,wepesi na wakarimu
Kuna wakati unajiuliza.
Ni kwamba hatuoni au tumeamua kuwa vipofu makusudi
Ni kwamba hatusikii au tumeamua kuwa viziwi makusudi
Mungu na aitetee nchi yetu,watu wetu na uzao wetu.Muda umebeba Siri kubwa sana
Anyway inaleta uvivu saana kukujibu kwasababu hauko huru ingawa Kila kitu kinaonyesha uko huru.
Anyway kazi ya media surveillance unaifanya vizuri saana mkuu.
Ila keep in mind kwamba
"It's very easy to split the world from good to bad especially if you're the one drawing the line"
Kuna namna Huwa nashindwa kuelewa,ukipata odd 1.4 au 1.5 ukastake 10k ni rahisi kabisa kupata 14k-15k.jichanganye odd hiyo hiyo uweke milioni Moja au laki ndo utajua what is betting.
Naamini huu mchezo kuna namna spiritual realm power inahusika.
Kuna kampuni hadi nimetelekeza mtaji wa...
Daah
Ni rahisi kulizungumzia suala la kamari kama tatizo,Ila huwezi jua hili ni tatizo kubwa kiasi gani mpaka ujaribu kucheza.nilianza kwa deposit ya 10k ikaisha.
Nikaweka 350k ikaisha.
Nikaweka 1.3milion ikaisha.
Inatisha sana.
Fun thing ni namna odds zinavyopangwa.ile algorithm inayopanga...
Sisi ni Moja ya timu bora na nzuri barani ulaya(take it or leave it)
Tumekuwa mabingwa Epl and almost won champions league(not for everyone)
Kimsingi tunahitaji maboresho ya wachezaji kadhaa ikiwemo
-left wing
-mid
-Rightback
Ila kuna kitu kimetunyima ushindi kwenye mechi kubwa na za...
Castr
Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu.
Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman.
Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
Hahaaa niamini Mimi hakuna aliye "hapa" baadhi huku na kule.
Dhana ya uoga na ujinga imekuwa kama sifa kuu isiyozungumzwa hadharani inayotufanya tuonekane tuna amani
Kuna vitu hutakiwi kuamini ila kuvipima kwenye mizani ya mantiki.ushupavu wa kiongozi hauondoi Hali halisi ya watu wake ila unaweza kutoa "cover" ya muda ila akiondoka taifa linakuwa exposed.
Nani anapenda kutambuliwa kwa sifa ya ujinga au uoga? hata Mimi sipendi na wewe pia hupendi
Kuna kiongozi Mmoja ndani ya Afrika mashariki aliwahi mwambia kiongozi wa Nchi yetu nyakati hizo kwamba anaongoza "maiti".
Ilikuwa lugha ya kuuzi,kukera,kudhalilisha na kushusha utu wetu.lakini ndani kabisa ya Ile kauli kulikuwa na ukweli ulio wazi. Watanzania tunadhani kuletewa maendeleo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.