Recent content by Tonytz

  1. Tonytz

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

  2. Tonytz

    Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani, Septemba 15, 2023

    Ni michango mizuri Sana Kwa kweli yenye kutamani iwe demokrasia ya kiutendaji na siyo katika makaratasi tu.
  3. Tonytz

    SoC03 Kuboreshwe uwajibikaji wa kitaasisi katika kupambana na rushwa

    Ni kweli,lakini tuzidi kupaza sauti.endapo kàma màoni haya yàtawafkia wengi na wahusika,basi uwajibikaji utaongezeka tu. Na hiyo takukuru kunà kujuana sana, kumkamatà mwarifu harafu unampa njia za kuepuka mikono yà Sheria ni hatari sana
  4. Tonytz

    SoC03 Kuwepo na juhudi endelevu za usimamizi wa maafa ili kutekeleza mkakati wa taifa wa usimamizi wa maafa

    isomeke usimamizi hapo kwenye tittle neno usimamimizi liwe usimamizi
  5. Tonytz

    SoC03 Kuwepo na juhudi endelevu za usimamizi wa maafa ili kutekeleza mkakati wa taifa wa usimamizi wa maafa

    UTANGULIZI. Maafa ni madhara yanayotokana na janga ambayo yanajumuisha uharibifu wa mfumo wa kawaida katika jamii ambao husababisha vifo, majeraha, madhara ya kisaikolojia,, upotevu au uharibifu wa mali, mifumo mbalimbali ya kiteknolojia na huduma za kiuchumi na kijamii au mazingira, ambapo...
  6. Tonytz

    SoC03 Kukuza ujuzi wa masomo ya kijamii kutaongeza uwajibikaji

    Habari. Mhusika yoyote,tafadhari naomba msaada kurekebishiwa tittle ya thread yangu hii, kwenye neno "masoko" isomoke "masomo" Tafadhari naomba msaada huo . Naomba sana moderators mnisaidie hapo.
  7. Tonytz

    SoC03 Kuboreshwe uwajibikaji wa kitaasisi katika kupambana na rushwa

    picha: mtandaoni@JamiiForums UTANGULIZI. Rushwa kwa maana iliyo nyepesi ni kitendo cha kutumia nafasi za kimadaraka na kiofisi au hadhi za kiofisi kutumia rasilimali za umma kujipatia manufaa binafsi. Rushwa inajumuisha kutoa na kupokea hongo. Kwa miongo mingi sasa rushwa imekuwa chanzo kikubwa...
  8. Tonytz

    SoC03 Kukuza ujuzi wa masomo ya kijamii kutaongeza uwajibikaji

    Habari. Naomba msaada wa marekebisho kwenye tittle ya hii story, pale kwenye neno "masoko" isomeke "masomo" Tittle iwe: kukuza ujuzi wa masomo ya kijamii kutaongeza uwajibikaji.#moderators
  9. Tonytz

    SoC03 Mabadiliko na Uwekezaji sekta ya Kilimo vizingatie mustakabali wa mwanamke katika kilimo

    UTANGULIZI. kilimo ni shughuli inayojumuisha ufugaji na uzalishaji wa mazao. kilimo ni sekta muhimu sana katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Tunaweza kusema kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa Tanzania. Hii ni kutokana na ukweli kwamba asilimia kubwa(zaidi ya 90%) ya watanzania...
Back
Top Bottom