Ni kweli,lakini tuzidi kupaza sauti.endapo kàma màoni haya yàtawafkia wengi na wahusika,basi uwajibikaji utaongezeka tu. Na hiyo takukuru kunà kujuana sana, kumkamatà mwarifu harafu unampa njia za kuepuka mikono yà Sheria ni hatari sana
UTANGULIZI.
Maafa ni madhara yanayotokana na janga ambayo yanajumuisha uharibifu wa mfumo wa kawaida katika jamii ambao husababisha vifo, majeraha, madhara ya kisaikolojia,, upotevu au uharibifu wa mali, mifumo mbalimbali ya kiteknolojia na huduma za kiuchumi na kijamii au mazingira, ambapo...
picha: mtandaoni@JamiiForums
UTANGULIZI.
Rushwa kwa maana iliyo nyepesi ni kitendo cha kutumia nafasi za kimadaraka na kiofisi au hadhi za kiofisi kutumia rasilimali za umma kujipatia manufaa binafsi. Rushwa inajumuisha kutoa na kupokea hongo. Kwa miongo mingi sasa rushwa imekuwa chanzo kikubwa...
Habari. Naomba msaada wa marekebisho kwenye tittle ya hii story, pale kwenye neno "masoko" isomeke "masomo"
Tittle iwe: kukuza ujuzi wa masomo ya kijamii kutaongeza uwajibikaji.#moderators
UTANGULIZI.
kilimo ni shughuli inayojumuisha ufugaji na uzalishaji wa mazao. kilimo ni sekta muhimu sana katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Tunaweza kusema kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa Tanzania. Hii ni kutokana na ukweli kwamba asilimia kubwa(zaidi ya 90%) ya watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.