Recent content by Tonyblair

  1. Tonyblair

    Msaada Waifu anataka kumtimua dada wa kazi, mimi sitaki

    Dada mkuu nilimis comment zako Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  2. Tonyblair

    Uchawi wa mahusiano ni nyama na kinywaji, na sio mchicha wala tembele

    [emoji2][emoji2] Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  3. Tonyblair

    Uchawi wa mahusiano ni nyama na kinywaji, na sio mchicha wala tembele

    Sawa Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  4. Tonyblair

    UJUMBE WA LEO: Usipoteze muda kujaribu kuwafanya watu wakupende

    Haswaaa Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  5. Tonyblair

    UJUMBE WA LEO: Usipoteze muda kujaribu kuwafanya watu wakupende

    Usipoteze muda kujaribu kuwafanya watu wakupende, tumia muda wako kwa wale ambao tayari wanakupenda. Mtu akiamua kujiondoa kwenye maisha yako, mruhusu tu kwa Upendo aondoke kwa Amani. MUHIMU Usiwaombe watu wakupende, usiwalazimishe watu wakufuate na vilevile usiwafosi watu wakuheshimu. Muwe na...
  6. Tonyblair

    Jinsi ya kuacha kugombana na mpenzi wako

    Inawezekanika andapo ana Upendo wa dhati ingawa sisi kazi yetu sio kupenda ni kutii Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  7. Tonyblair

    Jinsi ya kuacha kugombana na mpenzi wako

    Upendo ndo kila kitu Hakuna aliemkamilifu hivyo lazima mmoja ajishushe hasa sisi Ke ili maisha mengine yaendelee Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  8. Tonyblair

    Jinsi ya kuacha kugombana na mpenzi wako

    Upendo ukiwepo sidhani kama mnaweza jibizana kwa maana lazima mchukuliane madhaifu yenu.. Upendo Lina maana kubwa sanaa Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  9. Tonyblair

    Yanaumiza na yanaathiri kisaikolojia

    Pole[emoji23] Tafuta Hela, Kula vizuri, Vaa upendeze Utakuja kutoa ushuhuda hapa ila pambania point no 2[emoji13] (Tafuta hela) Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  10. Tonyblair

    Yanaumiza na yanaathiri kisaikolojia

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Katika ubora wako Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  11. Tonyblair

    Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

    Aiyeeee Fundi genereta [emoji2] Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  12. Tonyblair

    Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

    Daaah hata huyo mpenzi mwenyewe yupo sasa[emoji2][emoji2] Ngoja nikae pande hii nione wenye wapenzi wao[emoji28] Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  13. Tonyblair

    Nani anafahamu jinsi ya kusali Novena ya Mtakatifu Rita wa Kashia anisaidie?

    Download Playstore kuna ile ya Masaa 9 na ile ya Masaa 15.. Zina maelekezo kabisaa hauwezi kukosea kitu Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  14. Tonyblair

    Bado ni kama ndoto, mpaka sasa ni miezi 10 tu tangu nimpoteze Mama yangu

    Pole sana buddy I can feel you pain[emoji174] Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  15. Tonyblair

    Simu yangu imekuwa mfariji na kipenzi changu muda wote

    Ndo uache kuangalia Porno wewe haya Utakuja shindwa pandisha mtungi bila hiyo kitu [emoji23] Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom