Recent content by Tony_95

  1. T

    Naomba ushauri ndugu zangu; nikarudie mtihani au kidato cha tano?

    Ahsante sana kwa ushauri bwana sukari yao
  2. T

    Naomba ushauri ndugu zangu; nikarudie mtihani au kidato cha tano?

    Sawa mkuu ila ni maisha tu ndo yanafanya hv n vigumu sana kwa sisi watoto wa walalahoi kuzifikia ndoto zetu. Nikisoma banking and finance nan atanipa ajira na nina bloody brother mwaka wa 3 sasa yuko mtaani anasota na degree yake ya procurement and supply. Kwann nisibadili mawazo kusoma medicine...
  3. T

    Naomba ushauri ndugu zangu; nikarudie mtihani au kidato cha tano?

    Ahsante mkuu Nitafatilia cheti changu lakini wale jamaa ni wazinguaji sana Nmewafata sana kuhusu cheti lakini wanasema vyeti viko necta washavipeleka
  4. T

    Msaada: Paradigms School of Health and Allied Science

    Hakuna chuo hapo tafuta kingine kuna mshkaj wangu alikua anasoma hapo akaacha NB: vyuo vya private vilivyopo dar es salaam si vizuri nenda mvumi, machame au st. Aggrey mbeya
  5. T

    Naomba ushauri ndugu zangu; nikarudie mtihani au kidato cha tano?

    Kwanza nianze kwa kuomba samahani kwa uzi huu mrefu Mimi ni kijana wa kiume nna umri wa miaka 22, nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2013 katika shule ya jeshi makongo (dar es salaam) nikafaulu kwa daraja la 2 point 18 ambapo alama zangu zilikua kama ifuatavyo Biology B+, chemistry C, physics C...
  6. T

    Naomba kufaham

    Je kama mwaka jana niliomba chuo kupitia TCU nikapata lakini nikashindwa kwenda chuoni kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu je mwaka huu nikitaka kuapply tena naweza kuapply tu au mpaka niwasiliane na TCU/kile chuo kilichokanichagua?
  7. T

    FAHAMU: Vyuo vya Afya vyenye ushindani ktk ku'Appply ili baadae usije kuilaumu NACTE usipochaguliwa

    Biology ina deal na afya 100% Huwez soma koz za afya na hujasoma biology
  8. T

    FAHAMU: Vyuo vya Afya vyenye ushindani ktk ku'Appply ili baadae usije kuilaumu NACTE usipochaguliwa

    Uko sahihi mkuu vyuo km hvo vipo Kuna chuo kinaitwa CITY COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE kipo dar es salaam temeke mkabala na chuo cha bandali hiki chuo hakina dispensary wala duka la madawa Ada yao ni kubwa sana mazingira sio rafiki kwa kusomo medicine issues. Wanafunzi wa clinical...
Back
Top Bottom