Recent content by Tonny234

  1. Tonny234

    Finally: Nimeanza rasmi kilimo cha miti ya mbao Iringa

    Hongera broo ni kaz nzuri .. Ningependa unipe muongozo mzima juu ya kupata shamba uko uliko ww
  2. Tonny234

    Msaada katika hili, je ana mimba kweli?

    Cha msingi nenda hospital kampime ujue mimba ni ya mda gan then take zile days ambazo umelala naye apo utajua" but two dayz teyar mimba iyo apana[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
  3. Tonny234

    MSAAD

    Habari zenu wana jf wenzangu hope mnaelendelea salama ... Ningependa kuja mtu mwenye idea at least ata kidogo namna ya kufungua new website ... Nina shida nayo tena sana ASANTE
  4. Tonny234

    Napokea order na kuuza Mikoba ya kisasa

    Unauzaje maana mm nipo arusha !! Ni follow pm
  5. Tonny234

    Msaada wa Mtaji wa biashara 250,000

    Hongera sana ndugu yang ulifikiria wazo nzuri nakuleta maendeleo katika jamii .. nitafute kupitia hii no. 0744939000 au ni follow PM endapo kama ujapata uwo mkopo
  6. Tonny234

    Msaada: Nimeona fursa nzuri ya kilimo ila sina mtaji wa kuanzia

    Hallow ... hope wote mko poa. Kuna mahali nilikwenda kutembelea nikapata fursa ya KILIMO tena ni kizur sana pia nilifanya utafiti wa maji yapo pia ardhi inarutuba ya kutosha ila hela ya kwenda kufanya uwo MRADI wa kilimo sina naombeni hoja zenu
  7. Tonny234

    Nahitaji kuacha kazi nijiajiri

    Nitafute kupitia namba hii nikupe ideas yang ambayo ukiifanya itafanyikisha jambo lako .namba ni 0744939000
Back
Top Bottom