Recent content by ToniXrated

  1. T

    Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

    Wadosi wanaendelea kutakatisha fedha haramu kupitia udhamini wa timu
  2. T

    Wale 'Team Mungu Mtu Chama' niambieni leo amecheza nini dhidi ya Coastal Union FC kwa Mkapa?

    Umeongea kweli aisee!!! Ila wachache wanaoujua mpira ndio watakuelewa
  3. T

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Dawa yake ni mnyama anayeitwa nyegere aka mongoose. Nyegere ameumbwa katika hali ambayo sumu ya nyoka huwa haiwezi kumdhuru/kumuua.
  4. T

    Nilipotabiri Ujio wa Kocha Olivieira Simba SC na ikatokea na Kushauri yafuatayo nilikuwa namaanisha

    Genta...JF charismatic figure, knowledgeable ,talented and great thinker. Kudos to you!!! Simba wamefanyia kazi mapendekezo yako
  5. T

    Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

    Nina gunia 3000 za mchele hapo chimala nasubiri nizitoe mwezi wa pili
  6. T

    Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Wasambaa mshazoea kuoana ninyi kwa ninyi ili muongee kilugha muda wote, ni wabinafsi tbh. Mnyatunzu usingemuweza ww!! Usijali huyo dada atapata hata ngosha wa kumsitiri. Wewe ni gold digger!!
  7. T

    Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Umasikini sio laana na utajiri sio baraka. Unaweza ukawa tajiri na bado ukawa na laana ya Mungu na unaweza ukawa masikini na ukapewa baraka na Mungu and vice versa !! Hakuna mwanadamu anapenda umasikini ila kuzaliwa ktk familia duni au yenye utajiri ni mipango tu ya Mungu. Mungu humpa na...
  8. T

    Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Mkuu una roho ya uchoyo na ubinafsi!! Wewe inaonekana hata ndugu wa mkeo wakija kwako utanuna na kuwatimua.
  9. T

    Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Mtu mwenyewe unakaa ghetto ndio uje kuweza kuishi na mke???!! Bora ulivyomtema huenda sasa hv kapata mtu sahihi kwake maana ungemtia mimba na kumuacha kama singo maza
  10. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamaa kaliwa mamaeee labda kama ali cashout ila kama kakaza fuvu sasa hv anaijutia pesa yake mamaaaeee
  11. T

    Mandonga anaongelea kumpiga mpinzani wake ngumi za tumboni?

    Yes bondia mkubwa huwa anachukua mpunga mrefu apigwe au ashinde ni kutokana na kusaini mikataba kabla ya pambano....ila mcgregor alipata pesa ndefu tu 30M USD kabla ya pambano na 100MUSD baada ya pambano wakati floyd alipata 275M USD na pambano lao ni miongoni mwa mapambano yaliyoongoza kwa PPV...
  12. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hakuna fixed game ila timu za kiafrika nyingi hutoa matokeo ya suluhu. Kwenye mechi 10 basi mechi tatu hadi nne huwa na sare
  13. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukisikia mtu anajipiga risasi ndio kama hivyo....simshauri mtu kubeti hata siku moja
Back
Top Bottom