Hauna akili za kutosha. Walimu wa serikali wabalipwa kwa pesa ya serikali na serikali. Kama wasanii wanalipwa basi wanalipwa na pesa ya chama. Kama madai yako ndio utaratibu waambie Mbowe na Komu wawalipe waalimu badala ya kuitafuna ruzuku ya chama, ofisi za mikoani haifiki, CAG haikagui, hata...
Hata miongoni mwa wasomi wa maigizo wenye uwezo wa kiakili Arusha (sio tz nzima) hawezi kuingia hata kwenye 100 bora. Huyo mshindanishe kwenye wapiga dili kwa vyeo vyao serikalini humkamati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.