Hehehe mkuu unamlinganisha akili MaPadlock na EL, acha basi utani, EL hajakaribia IQ ya MaPadlock hata kidogo..
Hata miongoni mwa wasomi wa maigizo wenye uwezo wa kiakili Arusha (sio tz nzima) hawezi kuingia hata kwenye 100 bora. Huyo mshindanishe kwenye wapiga dili kwa vyeo vyao serikalini humkamati.