Nakuelwa mkuu,huumpango ulikuwa wa mda mrefu na fedha zilikwepo,ila shinikizo likatoka mpango usubiri mpaka leo.Ndo maana nkaleta hoja,wengine wananishambulia kuwa nimeleta mambo ya kawaida,hapana.Nataka kuitahadharisha jamii yangu,tusirudie makosa ya 2010,kisa hadaa.