Mi nakuunga mkono mzee hawa jamaa ni hovyo kabisa,mwaka juzi waliniletea barua nadaiwa 7.4M na wakaanza kukata hiyo hela na ikawa imebaki 4M cha ajabu mwaka jana desemba wakaniletea barua nyingine kwamba nadaiwa 8.2M yaani sijawaelewa kabisa nimewaandikia barua nangoja nione mwezi huu wakikata...
Safi sana mzee FRESHMAN kwa hii idea,mi nataka kujua je lazima niwe na AdSense account ndo niweze kufungua na kuingiza hela kupitia youtube au wajuzi watupe step by step namna ya kuingiza mkwanja kwa njia ya YouTube.
Hili ni bomu lingine liko stand-by kulipuka, waliloliandaa ni hao wanaokalia ajira,kuna madereva wa boda boda wengine wana mpaka elimu za chuo kikuu lakini mtaani hakuna kazi,we unategemea nini..
Hivi,mbona mnataka kutuona sisi ni watoto jamani.Kila kinachotokea kwa hao ISIS mnatetea mnadai kimetengenezwa na hollywood,vifo vya yule askari wa kimarekani aliyechinjwa (kassig) mlisema ni Hollywood kana kwamba hao ISIS hawawezi kufanya hicho kitu wakati kuna video kibao online zinazoonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.