Mwaka 1968, uko Tokyo Japan, mwizi alievalia mavazi ya kiaskari, alisimamisha gari la kubeba pesa, lililobeba pesa za bonus kwa ajili ya wafanyakazi wa kampuni ya Toshiba.
Baada ya kusimamisha hiyo gari askari jambazi huyo aliwaambia wale waliokuwa wanasafirisha pesa, kuwa kuna taarifa amepewa...
Miaka 100 iliyopita wanawake walikuwa wanakwenda hospitali kwa madaktari na kuruhusu madaktari kufanya manualy stimulation mpaka wanapata orgasm kwa ajili tu ya kuondoa hysteria.
Na hiyo ndo sababu iliyopelekea kugundulika kwa vibrators za mwanzo kabisa kwakuwa baadhi ya madaktari walichoka...
Nikivuta sigara jino langu lilitoboka linauma sana mpaka kichwa, nikivuta bangi haliumi na wala sisikii maumivu tena......bangi ni tiba bora ya wakati wake, kwanza inaleta amu ya kula
Kuna mwamba wankuitwa Bosco mitaa ya akina Ntimizi, ukitaka pass ya kusafiria ni ndani ya siku tatu tuu, ukitaka kwenda ulaya ni pesa yako tu,akatangaza kwenye daily news kuwa Kuna scholarship kusoma marekani foarm 20k, kakusanya izo 20k then akakimbia, nasikia alikuwa mganda jamaaa.
Wapi Ras D...
Kama ndege ilienda Diego Garcia, na umesema Kuna wanajeshi takribani 4000 apo kisiwani, vipi hawajaiona iyo ndege? Kati ya ao wote hakuna ata mwanajeshi mmoja ambaye ataweza toa Siri juu ya uwepo wa iyo ndege apo kisiwani?
Acha ujuaji, M23 ndiyo iyo ya Sultan Makenga ila ndani ya Congo kuna waaasi wengi mno wakiwemo ata ao Adf na wengineo sasa kuna wakati haujui unapigana na M23, au maimai au Naru au wengineo sasa unaweza jikuta unaisi unapigana na M23 kumbe unapigana na Maimai....na apa kwenye aya mapigano ya M23...
Amini nawaaambia, nimekaaa karibu na mchungaji mkubwa sana apa bongo, alinitaka niwe mchungaji kwakuwa aliniambia uko maisha yangu yatabadilika na kuwa tajili, nimuone yeye anaishi kifalme ingawa alikuwa fukala zaidi ya mimi, aliniaidi atanipa kanisa, hakika nawaaambia ishi ndani ya imani yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.