Mwaka 1968, uko Tokyo Japan, mwizi alievalia mavazi ya kiaskari, alisimamisha gari la kubeba pesa, lililobeba pesa za bonus kwa ajili ya wafanyakazi wa kampuni ya Toshiba.
Baada ya kusimamisha hiyo gari askari jambazi huyo aliwaambia wale waliokuwa wanasafirisha pesa, kuwa kuna taarifa amepewa...