Recent content by Tom Kamundi

  1. T

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo kuhamasisha kulinda kura ni uchochezi

    Muumini... siyo Muhumini!
  2. T

    JamiiForums Tanzania Vijana shirikini uchaguzi, reforms zote hufanyika bungeni sio mitandaoni

    Si Simple logic. Nini kinapaswa kuanza? Reforms au uchaguzi? Kama tunakubaliana kuna haja ya kufanya reforms ili kuwa na uchaguzi wa haki, wazi na huru kwa nini uende kwenye uchaguzi bila hizo reforms? Tunataka kupata nini mwishoni?
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli ni kwamba mwanamke siyo ndg Yako hata kama umtunze vipi akiamua kukuacha atakuacha tu!

    Ni kweli. Ila hii iko kwa binadamu wote. Si kwa mtoto baba wala mama! Inategemea na tukio au bahati yako.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Siyo kweli. Tunaofuatilia kinachoendelea tumeelewa madhumuni ya No Reforms No Elections. Kwamba yafanyike mabadiliko kwenye mfumo wa sheria na taratibu za uchaguzi ili kuwa na mazingira sawa ya ushindani kwa vyama vyote ili tuweze kuwa na uchaguzi huru na wa haki kuepuka kilivhotokea 2019, 2020...
  5. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA imekosea kujitoa mazungumzo na CCM. Tujifunze hapa

    Maneno ya busara sana hakika. Swali ni muafaka upi ambao umeweza kufikiwa kati ya CCM na CHADEMA ambao sasa unasema CHADEMA wamejitoa? Au unazungumzia mchakato wa maridhiano ambao CHADEMA wandai wamejitoa baada ya kuona hakunar dhamira ya kweli kwa upande wa CCM? ANGALIZO: Mimi siyo mwanachama...
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Utajiri wa Stellenbosch(Johann Rupert) , Simba(MO Dewji) ni Timu ya Masikini , Huwezi shindana na Matajiri

    Mwanzoni mwa uzi huu nilidhani ni logical analysis kumbe njaa tu!
  7. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 No Reforms no Election ni kwa manufaa ya kisiasa kwa Samia kama akitafakari vyema na kuifanyia kazi

    Kwa hapa tulipofikia hoja hii inapaswa kufanyiwa kazi. Malalamiko dhidi ya chaguzi zetu yanakera kwa kila anayeipenda nchi hii na kuitakia mema. Ninaandika kama Mwananchi ninayeipenda nchi yangu japo si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Maisha ya amani na haki yawe ni msingi mkuu kwa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hekaya za George Soros na Utabiri wa Anguko la CCM

    Wahenga walinena: "Sikio la kufa halisikii dawa!"
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

    Inategemea ulizaliwa mwaka gani. Ni kweli kipato rasmi kwa maana ya mishahara ilikuwa midogo lakini ni kipindi hichohicho watu walikuwa wanadunda mabulungutu ya pesa kwenye soksi! Na ni kipindi hicho serikali ilikuwa ikitekeleza shria mahsusi ya uhujumu uchumi.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

    Inafurahisha kukumbuka ya kale.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

    Q Dr. Alex Khalid Ntavala (RIP) alikuwa Mbunge wa Jimbo la Newala (Mitema), baadae Newala Vijijini. Pia alikuwa Mfanyabiashara na Mtaalamu wa Kilimo/Mifugo na Mmiliki wa Ukumbi maarufu wa Makondeko Only maeneo ya Mbezi Mwisho (Morogoro Road) ambako alimualika Mwanamuzi Nguli wa Afrika Kusini...
  12. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna haja ya kufanyika uchunguzi Kuhusu Hili Soko lenye paa mbili za bati, soko la Mbuyuni (Manispaa ya Moshi) kwa thamani ya Bilioni 2!

    Mwandishi nafikiri unamaanavya thamani ya ujenzi wa soko na siyo dhamani ya ujenzi wa soko.
Back
Top Bottom