Recent content by Tom Gabriel

  1. Tom Gabriel

    Soko la dagaa Tabora

    Asante sana bro, nashukur kwa ushauri wako mzuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Tom Gabriel

    Soko la dagaa Tabora

    Tuko pamoja mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Tom Gabriel

    Soko la dagaa Tabora

    Sawa Sawa mkuu. Mi niko kitangiri apa. Tuko pamoja Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Tom Gabriel

    Soko la dagaa Tabora

    Shikamooni wakubwa zangu,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu "soko la dagaa la tabora likoje"?... kwanza kabisa Mimi ni mkazi kutoka mwanza na pia nilisikia kutoka kwa marafiki wa Karibu kuwa dagaa inalipa kwa tabora. Nikaona ni vema basi nilete mada hii jamvini ile hali kma kuna...
  5. Tom Gabriel

    Faida za punyeto

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. Tom Gabriel

    Huu ndio utakua msimamo wangu pindi nitakapo achana na mzazi mwenzangu

    Inaonesha uwezo wako wa kufikiria ni mdogo (Never trust a woman)
  7. Tom Gabriel

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Dah hapo sina cha kukushauri tena mkuu zaid ya kukazia pale pale mwambie aachane nae.
  8. Tom Gabriel

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Brother ako anazingua, piga chini..ivi kwel mwanamke anakuletea mafyongo fyongo, mi ungekuta nimesha mchapa vitasa na navuta chombo ingine,..achane nae tu amna jinsi alaf asake pesa sio kumwazia aliyeshindikana kuanzia kwenye bustani ya Eden.
  9. Tom Gabriel

    Facts: This will make you sad, But it is true...

    Thanks so much mr, in one way l understand of what should be done, but l assist you mr if possible you having many details and information about what is going on in the world... please let share together here jamii forum with other members...god bless you and thanks for your attention mr[emoji1319]
  10. Tom Gabriel

    Facts: This will make you sad, But it is true...

    Thanks for the best thread mr, but l still looking foward on you as "what possible solution should followed to conquer with a situation or reality mr?
  11. Tom Gabriel

    Facts: This will make you sad, But it is true...

    Is it true that chinese have higher populion than whole african continent?
  12. Tom Gabriel

    Kosa kubwa sana wanalofanya wana chuo.

    Naomba huu uzi upate wachangiaji wengi.
  13. Tom Gabriel

    Kosa kubwa sana wanalofanya wana chuo.

    Niseme tu katika miongoni mwa thread nzuri hapa jamii this one also is the best one![emoji1319]...mkuu umenipa akili hata mimi kwasababu mi pia ni miongoni mwa wanachuo hapa mwanza chuo cha mipango. Nahisi imefika kwa walengwa mahususi!
Back
Top Bottom