Walimu wa masomo yafuatayo wanahitajika kufundisha shule ya sekondari Uruwira.
a) Geography na Mathematics
b) History na English
Shule ni ya Serikari, ipo mkoani Katavi. Mawasiliano: 0754576401
Umeanza biashara bila kua na plan nzuri. Ungefanya vitu vifuatavyo ungeupiga mwingi sana
1. Ungeanza na machine za kawaida kwanza, ambazo biashara yako itakua inakua taratibu
2. Sajili biashara yako kwenye mamlaka husika, ikiwemo Brela, TRA, Tafuta Leseni ya biashara, fungua akaunti ya benki...
Shule ya sekondari Uruwira iliyopo Mpanda Katavi inatafuta walimu wa masomo yafuatayo
PHYSICS & MATHEMATICS
GEOGRAPHY & ENGLISH
GEOGRAPHY & KISWAHILI
NB Ni shule ya serikari,
Free Accomodation & breakfast
Kwa mawasiliano Piga simu 0754576401
Kama kuna mtu amesomea masomo tajwa hapo juu (physics na mathematics), anahitajika kufundisha Shule ya Sekondari Uruwira.
Shule ni ya Serikali ipo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
Nb posho 150000
Accommodation, na breakfast ni free
Piga 0754576401/ 0658576401
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.