Siasa ni ujinga ndani ya wajinga wengi. Mtu unaweza ukamuona msomi lakini mjinga.nataka kusema nini.
Ukizungumzia kutekwa kutesa, kuiba kura, kukandamiza upinzani unaongelea mambo sociology.
Ukiongelea kupambana ufisadi, kujenga miradi ya kimkakati,kuinua uchumi wa nchi, kudhibiti rasilimali...
Ningependa nizungumzie kilichopo Yanga muda huyu na kinachoendelea kwa mtazamo wangu.
Minyukano ya siasa imeingia mpaka kwenye soka letu, ujue GSM na kundi la msg walianza kudhamini yanga 2021 kama political Lobbying Kwa siku za mbeleni, lakini baada game changer kwenye DP World Makonda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.