Hapana mkuu wameweka dau kuanzia mechi 9 kuna dau lake
Mechi 10 kuna dau lake mechi 11 kuna dau lake pia mech 12 kuna dau lake Ila inapotokea kwenye Kila dau kuna watu kadhaa mnapigwa gawio kutokana na pesa iliyopo kwenye dau la mechi hizo
Jamani mbona Mimi Kila ninapocheza perfect 12 M-bet sipati gawio iwapo mara ya Kwanza nilipata mechi 9 ticket inaonesha Lost Mara ya pili nikapata mechi 10 vile vile ticket Lost Wana Nini na Mimi Hawa Mbet???
Soko lipo, ingawa ni vigumu kumbadilisha mtu wa mwanza kula kibua wakati alishazoea kula sangara nadhani itakuchukua muda kupata wateja cha kukushauri tengeneza posters ambazo zitakurahisishia wewe kupata wateja kiwepesi yaani ukitangaza kwa beni nafuu Zaidi ya zile walizozizoea huko dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.