Nina swali, Mwanandoa mmoja akipeleka shauri mahakamani la kutaka talaka na court wakamwita mwenzake na asihudhurie mahakamani zaidi ya mara tatu, Mahakama uchukua hatua gani?
Kweli kabisa.... Pia achana na simu banking nikimaanisha usiwe access ya haraka ya kutoa pesa.Mimi ATM kadi yangu ili expire, sija renew ,pesa ikiingia huko mpaka niitoe nipange mstari so uwa naiachaga tu nategemea mishe zingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.