Ama kwel ss subsaharan tutabaki hiv hv.. watu wanachukia had hatua za kuiinua inchi kiuchumi ambapo sote tutanufaika eti kisa tu wanamitizamo tofauti ya kisiasa?? Tanzania ni yetu sote
Subir TFDA wakitangaza ajira may be mtapata, hiyo kama sikosei ni coz mpya hapa Tz kaz zenu nyingi zinasimamiwa na pharmasist kisheria nadhan labda sheria zikirekebishwa na kuwepo kwa clear job description mnaweza pewa hilo jukumu..just thinking
Kufa kisayansi kupo kwa kuu mbil..brain dead(ambapo ubongo unakuwa umekufa bali cells zingine ziko hai) au cell death(ambapo brain ni nzma lkn mwil mwingine yaan cell zisha kufa) kama ushaskia mtu anaish kw mashine huwa brain yke ishakufa ila mwil upo hai
Acha ushamba ww kupima DNA tunaweza toka longtime tu hapa bongo..halafu DNA inahusiana nn na ulicho andika..nenda shule ijue DNA vizur ndo urudi kunya humu
Nashangaa watu wamwatack siro kwa kutoa taarifa hiyo nyny mnaobisha mnarefer kitu gan au mipasho tu..yy kasema kwa taarifa za kiintelligensia nyny mnabusha tu..ukwel utabaki kama ulivyo hata kama unauma mara mnaiattack clouds huku hata ITV wamerusha the same news..mind zenu zipo si biased ndo...
Af hiv kwann wakenya mmeikalia tz kooni? why not any other country in EA??.. it seems kunakitu mnakiogopa saana sio bure na "aliwazalo mjinga ndilo humtokea"..
Hakuna kisichowezekana...one day things will be different..najua wajua rate ya economic growth ya Tz...so expect something to happen soon we are running...
Wazir yupo sahihi tunalaum tu..tunajua kabisa watanzania wengi tunaangalia oppoturnity iliyoko mbele na tunaenda nayo..mfano tunaupunguf mkubwa kwa watu wanaohitajika kuwa wamesoma sayansi mfano watumish wa afya ni wachache saana..mm naamin itasaidia kwa suala kama hilo na tunapo tegemea tz ya...
Tuache unafiki jaman tusipinge kila kinachofanywa na serikali..hivi kwa dunia hii hatuoni ni aibu kama serikali kutokuwa na data za uhakika za watumishi wake?? Hapo serikali kudai na kuhakiki wafanyakazi na vyeti vyao kunatatizo gani? Sote tunajua jinsi watu walivyo fanya magumash na wapo had...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.