Kwenye Uchaguzi huu wa CHADEMA Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kuhusu Hawa wagombea wa uenyekiti.
Freeman Mbowe
STRENGTH
1. Hekima zake,mikakati,kujitoa kwake hata kiuchumi bado zinahitajika kwa CHADEMA na siasa za nchi hii
2. Uhakika wa kuto kununulika kwake kunafanya awe muhimu kuendelea...
Waalimu salamu ziwe nanyi.
Nina Mdogo wangu ni Mwalimu sekondali
Amepangiwa Songea, anahitaji kurudi Arusha.
Tuna uhitaji saaana wa kurudi Arusha, kwani ndiko alikowekeza biashara zake kabla hajapata ajira.
Nicheki inbox tuzungumze mambo mazuri kuhusu kubadilishana Kituo.
Sure, ila wazungu kudondoka mapema inategemeana na mazingira.
Mfano
i. Hujapata huduma muda mrefu, lazima siku ukipata wazungu watatoka mapema.
Ndio mana Mara nyingi wanaume walioko kwenye mahusiano/ndoa uonekana wanachelewa kutoa, sababu wanapata Mara kwa Mara.
Salamu ziwe nanyi wakuu.
Tuzungumzie mambo machache mawili Leo kiufupi sana.
a) Nguvu za kiume na
B) Mjomba kusimama. Na urefu wake (Perfect penile erection)
A) NGUVU ZA KIUME
Ni uwezo wa kusababisha uzazi.
Unajipimaje?
i. Wazungu/manii wawe wanatoka. WENYE AFYA INAYOTAKIWA na
ii. Wawe na uwezo...
Wakuu tujaribu kutazama maoni ya wadau mbalimbali juu ya Gharama Mpya za miamala iliyiwekwa na serikali yetu tukufu chini ya madam president na waziri wa uchumi kijana kijana flani,
Hii ilikuwa ni akili ya ajabu Tena kutoka kwa mkemia/scientist, sijawahi tegemea kabisa.
#Kipimo kinahitaji sampuli gani na kiasi gani?
Inaendana na ya papai au chenza?
Mwenda zake alikwenda na zake mbovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.