Recent content by Titicomb

  1. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula: Balozi Polepole yupo gereza la Ukonga

    Ngumu kuamini
  2. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Dodoma yamsimamisha wakili Kachenje kwa kutumia Akili Unde iliyopotosha kesi alizonukuu

    AI siyo ya kuiamini sana. Inafanya makosa mengi tu.
  3. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Mfanyabiashara msomi mfano Elon Musk ana advantage zaidi.
  4. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mussa: Warioba Tatizo Kuu la Watanzania

    Dakitari wa hovyo. Anajivua ufahamu na kusema mambo Kama amepoteza kumbukumbu. Serikali tatu siyo hoja binafsi ya Warioba. Ile rasimu ilichukua maoni na mapendekezo toka kwa wananchi. Kuitwa tume ya Warioba haimaanishi mawazo yote mule ni mapendekezo binafsi ya Warioba. Huyu sijui dakitari wa...
  5. Titicomb

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnasuburi nini kumchunguza Nathaniel Chilambo?Au mnataka Yanga tupeleke malalamiko CAF, FIFA na CAS?

    Mmmh! Hizi tuhuma nzito sana. Kwa hivyo mnalipiza kelele za Yanga ya Gamond pale Azam Complex na tuhuma za sindano za ku-boost?
  6. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa Sugu au Lema ndio wanashika nafasi ya Heche, siasa za Tanzania zingekuwaje?

    Respect him. At least show some evidence to support your assumptions or arguments.
  7. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Naona kete ya mtu kubaki madarakani 2030 imeanza kusukumwa taratibu! CCM hongereni kwa kutanguliza chama badala ya Taifa

    Baada ya vile vifo vya MO29 hakuna kumaliza muda na kwenda kula maisha. Inabidi wabaki kulindana wasiwajibishwe.
  8. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Philip Mangula: Magufuli alitaka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini kisa wenzake walikuwa wanatoa pesa

    Hawa wazee wameichoka CCM wameamua kusema ukweli. Wanamwaga mboga wahuni wabaki na ugali tupu.
  9. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Stop being a Simp. Wewe ndiyo fallback plan yake baada ya kukitembeza huko kwa wengine kisha wakagoma kumuoa.
  10. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Una akili gani? Kadai Tanganyika yako basi.
  11. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mwanamke asema 'Single moms' wanaharibu wigo wa uchaguzi wa wapenzi au soko la wachumba (dating pool).

    Kwa mtazamo wako huyu dada yupo sahihi?
  12. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Wewe upo tayari kujitoa kufa ili wanaowatuma waachie uongozi? Au unafikiri hilo jambo jepesi au rahisi?
  13. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Natafuta Business Partner Kwa Mtaji wa TSh 100M Tunaweza Pata faida ya TSh 300M hadi Tsh 350M kwa Mwezi.

    Mpaka Sasa hujajua au hatujajua ataingiza bidhaa gani sokoni. Je, ni service au software product, au tangible product na inahusu nini hasa kwenye hiyo digital business? Wateja wake ni Nani na Wana purchasing power kiasi gani? Hiyo bidhaa ndiyo imeficha majibu ya unachohofia.
  14. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Natafuta Business Partner Kwa Mtaji wa TSh 100M Tunaweza Pata faida ya TSh 300M hadi Tsh 350M kwa Mwezi.

    Nimekuuliza una uzoefu wa hiyo biashara makusudi. Wewe umehesabu anachowekeza Ni hiyo milioni 100 ya kutangaza biashara anayowekeza mshirika. Vipi umejiuliza huyu mtafuta mshirika anawekeza kiasi au kitu gani kwenye biashara husika? Hicho kitu kina thamani gani sokoni? Ukijumlisha hicho kitu na...
  15. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Alihoji mtu akaishia kupigwa. Wasemavyo walio shuhudia.
Back
Top Bottom