Njaa baba.
Wana matumbo ya kuyashibisha.
Wakigoma watafukuzwa.
Kwanza wakianza vikao vya maazimio ya mgomo wanaanza kushughulikiwa mmoja baada ya mwingine. Wanaanza na wahamasishaji au viongozi.
Kati yao wanasalitiana kupeleka taarifa ili wapate teuzi. We have rats everywhere.
Hili Jambo siyo sahihi.
Mtu lazima awe na uhakika atapata usafiri kwa muda gani.
Watu wengi hupangilia safari kuanzia bajeti, atapokelewa na Nani, muda gani, atalala wapi, atarudi lini, saa gani.
Hii kitu inaitwa itenerary.
Watu wa itifaki wanajuwa.
Itenerary siyo kwa viongozi wa serikali tu...
Hana baya huyo Lamomy tajiri boss wangu.
Ukiwa chawa lazima umtaje kwa sifa na vyeo vingi.
Tajiri, boss, n.k.
Najifunza uchawa nianze kazi za Tlah ..Tililalila na Lucus Mwasha 😄
Maneno mengi unazunguka unashindwa kusema ulichokusudia.
1. Fr. Kitima aondolewe nafasi ya katibu wa TEC.
2. Lissu na makamu wake waondolewe kwenye uongozi wa CHADEMA.
Unahisi hayo yatamaliza tatizo la msingi la ubinafsi, wizi na ukosefu wa uwajibikaji na ukosefu maadili ulio liingiza taifa...
Maneno mengi ya mitandaoni na mitaani ni uzushi tu.
Ila siyo yote.
Tatizo wahenga wa kiswahili "lisemwalo lipo".
Wahenga wa Kizungu "Ceasar's wife must be above suspicion".
Hivyo mzee wetu afanye jambo kujisafisha na hizo tuhuma.
Zisije zikajenga hasira kwa ndugu wa wahanga kisha mmojawapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.