Recent content by Titicomb

  1. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Njaa baba. Wana matumbo ya kuyashibisha. Wakigoma watafukuzwa. Kwanza wakianza vikao vya maazimio ya mgomo wanaanza kushughulikiwa mmoja baada ya mwingine. Wanaanza na wahamasishaji au viongozi. Kati yao wanasalitiana kupeleka taarifa ili wapate teuzi. We have rats everywhere.
  2. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Wasomi UDSM Waitaka Serikali Kuacha Kuingilia Uhuru wa Kitaaluma

    Habari za jalalani hazina mvuto siku hizi.
  3. Titicomb

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Hili Jambo siyo sahihi. Mtu lazima awe na uhakika atapata usafiri kwa muda gani. Watu wengi hupangilia safari kuanzia bajeti, atapokelewa na Nani, muda gani, atalala wapi, atarudi lini, saa gani. Hii kitu inaitwa itenerary. Watu wa itifaki wanajuwa. Itenerary siyo kwa viongozi wa serikali tu...
  4. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Wanaanza au wanaendeleza walipo achia mara ya mwisho waliposumbuliwa akina Mwabukusi, Lissu na wengine?
  5. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Hana baya huyo Lamomy tajiri boss wangu. Ukiwa chawa lazima umtaje kwa sifa na vyeo vingi. Tajiri, boss, n.k. Najifunza uchawa nianze kazi za Tlah ..Tililalila na Lucus Mwasha 😄
  6. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Kwa mtindo huu tutapata katiba mpya. Umeanza na mguu mzuri...🤣
  7. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Daah 😄🤔 Sina neno bro.
  8. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Hizo ni SQM au SQKM? 756SQM Ina ukubwa wa kiwanja cha makazi cha mtu.
  9. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Ati, "inategemea". 🤮

    Umenikumbusha sijamlipia binti yangu wa form four mchango wa graduation... Ngoja nifanye jambo.
  10. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Hao ndiyo wana maarifa, taarifa, na uzoefu wa wanacho hubiri au kukipambania. Wapo katika nafasi nzuri kuwaongoza watu wa pande zote za huu mgogoro.
  11. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Uwepo wao umeanzisha mwendo (motion) wa kuondoa hayo. Kuwanyamazisha au kuwanyima nafasi zao za sasa ni kuwapora vitendea kazi.
  12. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Maneno mengi unazunguka unashindwa kusema ulichokusudia. 1. Fr. Kitima aondolewe nafasi ya katibu wa TEC. 2. Lissu na makamu wake waondolewe kwenye uongozi wa CHADEMA. Unahisi hayo yatamaliza tatizo la msingi la ubinafsi, wizi na ukosefu wa uwajibikaji na ukosefu maadili ulio liingiza taifa...
  13. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Ninaomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda sana Mzee Kikwete (Mstaafu na Mshauri Mzuri sana wa ofisi ya Rais)

    Maneno mengi ya mitandaoni na mitaani ni uzushi tu. Ila siyo yote. Tatizo wahenga wa kiswahili "lisemwalo lipo". Wahenga wa Kizungu "Ceasar's wife must be above suspicion". Hivyo mzee wetu afanye jambo kujisafisha na hizo tuhuma. Zisije zikajenga hasira kwa ndugu wa wahanga kisha mmojawapo...
  14. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Hakuna Kijiji kinachokosa wazee. Acheni tuuze jezi na asaidie kuwafundisha kufunga akina Mzize.
  15. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Dombia nitakataka pale simba , ndio amaana selemani mwalimu aliniuma sana,

    Nahisi Mangungu anaonewa. Tatizo MOoooo na genge lake akina tipwatipwa Kigori na akina Jaribu tena KuSalim Abdalah..😆
Back
Top Bottom