Dakitari wa hovyo.
Anajivua ufahamu na kusema mambo Kama amepoteza kumbukumbu.
Serikali tatu siyo hoja binafsi ya Warioba.
Ile rasimu ilichukua maoni na mapendekezo toka kwa wananchi.
Kuitwa tume ya Warioba haimaanishi mawazo yote mule ni mapendekezo binafsi ya Warioba.
Huyu sijui dakitari wa...
Mpaka Sasa hujajua au hatujajua ataingiza bidhaa gani sokoni.
Je, ni service au software product, au tangible product na inahusu nini hasa kwenye hiyo digital business?
Wateja wake ni Nani na Wana purchasing power kiasi gani?
Hiyo bidhaa ndiyo imeficha majibu ya unachohofia.
Nimekuuliza una uzoefu wa hiyo biashara makusudi.
Wewe umehesabu anachowekeza Ni hiyo milioni 100 ya kutangaza biashara anayowekeza mshirika.
Vipi umejiuliza huyu mtafuta mshirika anawekeza kiasi au kitu gani kwenye biashara husika?
Hicho kitu kina thamani gani sokoni?
Ukijumlisha hicho kitu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.