Recent content by Titicomb

  1. Titicomb

    Taifa la Ovyo namna hii!

    What does official report from the family of the deceased say? How do you know they have been assassinated? Did you do the autopsy?
  2. Titicomb

    Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Diazepam a.k.a 'mbandandu' 😆😆😆
  3. Titicomb

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Huu nao uchawi. Akina Lucuvi wamekufa kifo cha kawaida siyo kuuwawa. Namkataa yule mwanamama waliemkabidhi hatamu kwa damu lakini hii tunamsingizia uongo tupu.
  4. Titicomb

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Waachieni akina Soka mtajua bado wapo vijana..... Mnawafanyia ukatili akina Chaula, Sativa, Nicodemus Julius Layore chalii wa chuga mwamba wa MO29 mnahoji wako wapi watakaorithi akina Lissu na Mnyika?
  5. Titicomb

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Hili nalo ni swali? Hayo ni majibu siyo swali. Pia makombora yanayo pita anga za kimataifa juu ya nchi hizi toka Iran kwenda kwa adui yake wao wanajaribu kuyazuia.
  6. Titicomb

    Anayejua haya matunda ya Shokishoki yana maajabu gani mbona zinauzwa bei juu hivi?

    Umemuita Dr. Mariposa labda yeye anatumia kuongeza nguvu za kiume au? Mbona sijaelewa 😃 Doc natania sister angu, don't take it personal.
  7. Titicomb

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Unaelewa nini kuhusu deterrence kwenye mambo ya defense? Iran alirusha kombora bila kuanza kushambuliwa? Amerushia kombora nchi ambayo haijahusika kwenye kuishambulia Iran moja kwa moja au kwa kuwasaidia adui wa Iran? Kwanza inaweza kuwa like shambulio hakufanya Iran Bali false flag. Tumieni...
  8. Titicomb

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Ndiyo mwenyewe huyo. Anajibu vivyo hivyo hata hapa JF. What a useless politician!
  9. Titicomb

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Huyo ni kati ya watu wa hovyo tu. Kwanza mropokaji na mpayukaji. Kumpa muda hapa wa kumjadili hatujitendei haki. Kinachomsaidia uongozi wake kidogo ni ile tabia ya ufuatiliaji matukio yanayo mpa 'trending' mengine sifuri kabisa. Inamfaa kazi ya social media content creator, public relations, na...
  10. Titicomb

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    Kuna waalimu wa shule za upili(secondary) wazanzibar wameajiriwa bara. Yawezekana ajira zao ni kati ya hili usemalo. Elimu yetu watanganyika inaenda kuwa kama ya Zanzibar. Duni kabisa, hao watu wavivu na ubinafsi, wabaguzi. Wanaweza kuchagua watoto wa mlengo wao ule kiimani kwenye darasa na...
  11. Titicomb

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Hii sheria inatakiwa itumike kwenye public places na ndani ya majengo yanayo hudumia watu wengi kama ndani ya hotel n.k. Hii ikitumika dhidi ya mtu binafsi anapotaka kuweka security camera nyumbani kwake hapa wanakosea tena sana. Uhamuzi wa ajabu sijawai kufikiria au kuona.
  12. Titicomb

    New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

    Pamoja bro
  13. Titicomb

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Iran hawajadharau Wala kuchukukiwa pia kauli za Trump kuhusu kuongeza muda wa siku 5. Wao wamesema wanajiandaa na mashambulizi sababu wanajua hiyo Ni janja ya Marekani kuwafanya wajisahau yeye awazunguke na kuwashambulia kwa kushitukiza Kama kawaida yao. Eamefanya hivyo Iran, walifanya hivyo...
Back
Top Bottom