Recent content by Titicomb

  1. Titicomb

    Hatuna hata movie moja iliyoigiziwa Mlima Kilimanjaro

    Mountain of God fungua hiyo link utaona habari kamili kwenye tovuti ya movie husika. CC: ndege JOHN
  2. Titicomb

    Hatuna hata movie moja iliyoigiziwa Mlima Kilimanjaro

    Alichomekea tu sidhani kama alikuja kuchukua ile 'scene' Kilimanjaro kweli. Isitoshe ilikuwa mandhari ya usiku Kama kumbukumbu zangu zipo sawa. Ni zamani sana ile 2003 huko.
  3. Titicomb

    Hatuna hata movie moja iliyoigiziwa Mlima Kilimanjaro

    Angelina Jolie aliigiza kipande kidogo kama yupo mapangoni karibu na Mt. Kilimanjaro kwenye filamu ya Tomb Raider. Mountain of God is a fictional mountain in Lara Croft Tomb Raider: The Cradle of Life. History Mountain of God as the locals call it is the location for the Cradle of Life near...
  4. Titicomb

    Serikali isikilize kilio cha hawa waathirika wa mafuriko

    Hizo ni dharau tu. Walidharau ushauri kutojenga karibu na mto, wakadharau nguvu ya maji. Sasa wanalipia gharama za dharau.
  5. Titicomb

    Picha: Geti lililojengwa na TANAPA kuingia hifadhi ya Nyerere kwa Tsh. Bilioni 2

    Nawewe umeingia mtego wa jamaa. Hujasoma hapo kumefanyika ujenzi wa miundombinu mingine na uwanja mdogo wa ndege(airstrip)? Hapo getini tu kuna majengo mengine. Picha haija onesha yote.
  6. Titicomb

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Kwa hivyo unataka kumpangia Mh.Samia watu wa kufanya nao kazi? Yeye hafuati hisia zako wala zangu Bali anapokea ushauri toka kwa watu wake anao waamini.
  7. Titicomb

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Ukijitafuta ukajipata unavaa chochote mahali popote You don't give a fvck. The key to confidence and success in life is to simply “not give a fvck.”
  8. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Mbususu siyo ya kuichukulia poa Aziz Ki kakataa kwenda kwa Madiba Club kubwa kaongeza mkataba siyo kwa mapenzi ya Yanga bali Mbususu ...
  9. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Mechi ya kwanza Mzinze hana assist? Zilikuwa ngapi? Umesahau alimburuza Tshhabalala makolo wakalia Mzinze huyu huyu anawaburuza akina Tshhabalala? Tafadhali rudia kuangalia Ile mechi usiyumbishwe na kelele za kumshangilia Pacome. Rudia rudia tena na tena uone uhalisia sababu nabii hakubaliki...
  10. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Anasahau Musonda aliwezesha timu kuvuka Makundi goli la TP Mazembe. Anasahau goli alilowafunga Malumo Gallants kwao assist ya Mayele. Tungefikaje fainali? CC: Nifah
  11. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Wanamsahau Saka aliyekuzwa Arsenal na leo tegemeo. Wanawasahau wachezaji wa Man U waliowapa treble 1999 walikuzwa pale pale.
  12. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Mzinze ana mchango mkubwa kufika hatua ya Makundi CCL. Ana mchango mkubwa kwenye FA Cup msimu uliopita na huu. Ana mchango ligi kuu wa goals na assist. Kumbuka assist kwenye Derby ya kwanza ya 5-1. Unapozungumzia point 6 na goli 7 dhidi ya Simba lazima umtaje Mzinze.
  13. Titicomb

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Kuna siku mbaya kazini inatokea kwa binadamu wote. Siku ile ilitokea kwa Mudathir.
Back
Top Bottom