Huu nao uchawi.
Akina Lucuvi wamekufa kifo cha kawaida siyo kuuwawa.
Namkataa yule mwanamama waliemkabidhi hatamu kwa damu lakini hii tunamsingizia uongo tupu.
Hili nalo ni swali?
Hayo ni majibu siyo swali. Pia makombora yanayo pita anga za kimataifa juu ya nchi hizi toka Iran kwenda kwa adui yake wao wanajaribu kuyazuia.
Unaelewa nini kuhusu deterrence kwenye mambo ya defense?
Iran alirusha kombora bila kuanza kushambuliwa?
Amerushia kombora nchi ambayo haijahusika kwenye kuishambulia Iran moja kwa moja au kwa kuwasaidia adui wa Iran?
Kwanza inaweza kuwa like shambulio hakufanya Iran Bali false flag.
Tumieni...
Huyo ni kati ya watu wa hovyo tu.
Kwanza mropokaji na mpayukaji.
Kumpa muda hapa wa kumjadili hatujitendei haki.
Kinachomsaidia uongozi wake kidogo ni ile tabia ya ufuatiliaji matukio yanayo mpa 'trending' mengine sifuri kabisa. Inamfaa kazi ya social media content creator, public relations, na...
Kuna waalimu wa shule za upili(secondary) wazanzibar wameajiriwa bara.
Yawezekana ajira zao ni kati ya hili usemalo.
Elimu yetu watanganyika inaenda kuwa kama ya Zanzibar. Duni kabisa, hao watu wavivu na ubinafsi, wabaguzi.
Wanaweza kuchagua watoto wa mlengo wao ule kiimani kwenye darasa na...
Hii sheria inatakiwa itumike kwenye public places na ndani ya majengo yanayo hudumia watu wengi kama ndani ya hotel n.k.
Hii ikitumika dhidi ya mtu binafsi anapotaka kuweka security camera nyumbani kwake hapa wanakosea tena sana.
Uhamuzi wa ajabu sijawai kufikiria au kuona.
Iran hawajadharau Wala kuchukukiwa pia kauli za Trump kuhusu kuongeza muda wa siku 5.
Wao wamesema wanajiandaa na mashambulizi sababu wanajua hiyo Ni janja ya Marekani kuwafanya wajisahau yeye awazunguke na kuwashambulia kwa kushitukiza Kama kawaida yao.
Eamefanya hivyo Iran, walifanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.