Mimi ni mwananchi na wanangara wote wananijua kaka, ni undergraduate ambaye sina cha kupoteza na ndiye niliyeshirikiana na mbunge wa Ngara kuibua kero za DMO aliyekuwepo hadi akaja huyu wa sasa ndipo hali ikawa sawa.
Lakini kwakuwa nyakati hubadilika na watu hubadilika ila siamini kama huyu DMO...
Binafsi kama kijana wa Ngara baada ya kuondoka kwa Mganga Mkuu aliyekuwepo awali alokuwa na kashfa Rukuki ikiwemo upotevu wa dawa na mengineyo, huyu wa sasa amekuja na mapinduzi ya dhati kwenye sekta ya afya Ngara.
Ninadhani WATOA DOKEZO kabla hamjafanya claims za Flat Rate kwa waajiliwa wapya...
Mkuu wa wilaya ya Ngara COL. MATHIAS JULIUS KAHABI kupitia kikao cha Halmashauri kuu ya CCM (W) Ngara cha mapema Mwezi huu Mei alinukuliwa akitoa kauli za vitisho dhidi ya vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akitishia kuwakamata na akikishauri chama kutowateua katika nafasi za uongozi uchaguzi...
Kupiga kura siyo haki ya Msingi kwa Sheria za Tanzania
Kama ni haki ya Msingi weka wazi kifungu chochote cha kisheria kuthibitisha hilo. Haki za Msingi tunatambua ziko Ibara ya 12 hadi 24 ya Katiba, hebu leta vitu tujifunze ndugu.
Ndugu Watanzania, nianze kwa kuwasalimia kwa salamu ya chama changu pendwa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kidumu Chama cha Mapinduzi ..........................!
Awali ya yote nitaomba radhi kwa kila Mwanachama wa CCM atakayekwazika kwa hiki ninachoenda kukifanyia uchambuzi.
SIKU ZA HIVI KARIBUNI...
Ndugu zangu wana JF, ukizaliwa wilayani Ngara, Mkoani Kagera ni rahisi sana kutegua kitendawili cha Kwanini Nguruwe hauzwi kwenye minada ya mifugo licha ya kuwa ni mnyama anayefugwa na mwenye jina rasmi kwenye kundi la wanyama.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara (DED) kwa...
Ndugu zangu wana JF, ukizaliwa wilayani Ngara, Mkoani Kagera ni rahisi sana kutegua kitendawili cha Kwanini Nguruwe hauzwi kwenye minada ya mifugo licha ya kuwa ni mnyama anayefugwa na mwenye jina rasmi kwenye kundi la wanyama.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara (DED) kwa...
Hakuna Document ambayo iko attached hapo. Hata iliyokuwa attached by fault nayo nimeiondoa pia. Pia The Personal Data Protection Act CAP 44 Revised Edition of 2023 niko nayo makini kuliko kawaida. Hakuna anayeweza kupublish contents kama hizi zenye maslahi ya kijamii bila maandalizi
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ni Miongoni mwa Halmashauri 8 zinazounda Mkoa wa Kagera ikiwa na Jumla ya Vitongoji 389, Vijiji 75, Mitaa 34, Kata 22 na Tarafa 4.
Mapema mwaka huu Halmashauri hii iliwasilisha Rasimu ya Mpango wa Maendeleo na Bajeti kwa Mwaka 2025/2026 huku wadau wengi wa...
Wazanzibari hawajui kama wao ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano. Sisi kama Tanzania Bara tukisema tusikope Wazanzibari wanateseka. Nashangaa kwanini wengi wao humu wanajibu kwa dharau sana.
Let us learn to behave positively. We're both Tanzanians, no need of stratifications.
Kigezo cha mtu kuitwa machinga siyo namna ya ufanyaji wa biashara bali ni kiwango cha mtaji alichokiwekeza kwenye mtaji wake. Justifiably machinga anapaswa kuwa mtu yeyote mwenye mtaji ambao uko chini ya milioni 5 bila kujalisha namna na mahali anapofanyia biashara.
Ila kwakuwa serikali yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.