AMETOROKA SHULENI!
Mtoto wetu DAVID R. KIGELULYE, kimo ~5ft.
Mara ya mwisho kuonekana Iringa – Shule ya San Giovanni Paolo Sec, tarehe 20/08/2025.
Tafadhali yeyote mwenye taarifa atujuze mara moja 🙏.
Piga:
📞 +255 714 220 3363 / +255 675 962 254
Jumla ya Bajeti: Tsh 10,000,000
1. Malengo ya Mradi
1. Kufuga nguruwe wa kisasa kwa ajili ya kuzalisha na kuuza nyama.
2. Kuongeza mtaji wa butcher ili kuongeza mzunguko wa mauzo.
3. Kujenga uthabiti wa kifedha wa familia kupitia kipato cha kilasiku (Butcher) na cha muda mrefu (Ufugaji).
2...
Unaaapply kwa cheti kipi?
NOTE:
Internet speed iwe stable na session ya browser inatimeout hivo ujicancel kila wakati inahitaji uvumilivu kwenye hilo.
Wtsup utatuma details kwaajiri ya application yako mkuu...
Habari,
Tunatafuta mtu au kampuni inayoweza kutupatia school bus kwa mpango wa malipo ya awali (down payment) na kisha kumalizia kulipia kwa awamu. Shule ipo Tabora na basi litakuwa kwa matumizi ya kusafirisha wanafunzi.
Kama una au unajua kampuni/mtu anayeweza kutoa huduma hii, tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.