Recent content by tino shinzo

  1. tino shinzo

    Kwanini sigara inasafirishwa kwa ulinzi mkali?

    Zinabeba mzigo wa pesa nyingi sana, box moja ya sigara inaweza kufikia hadi laki 8 na zikiibiwa ni fasta sana kupata mteja. Usafirishaji wake ni kama zile gari zinabeba pesa toka BOT, full escort
  2. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    ⚟[emoji851]
  3. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Leta takwimu, wachache sio namba.
  4. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Nanyie kuna baadhi mnachanganya hoja, Makambako na Makete mnajumuisha ktk maendeleo ya Njombe
  5. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Kwa hapo kama mtu mmoja akapata hata laki moja tu kwa mwezi, manake Kahama ina uhakika wa kuongeza zaidi ya Tzs Bilioni 4 kila mwezi kwenye mzunguko wa pesa.
  6. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Bulyanhulu na Buzwagi ina ajiri zaidi ya watu 4000, ni kipi Njombe kinaweza kutoa ajira za moja kwa moja kama hiyo migodi?!
  7. tino shinzo

    Umewahi kupata mkasa gani barabarani?

    Juzi tu, kijasho chembamba kilitoka
  8. tino shinzo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Kahama mabenki yapo mengi kuliko njombe. ACB, AZANIA, NBC, CRDB, NMB, TPB, hapo hujawaweka akina FINCA na wadogo zake. Kwa hilo tu, Njombe inaachwa mbali. Kimapato, mgodi wa Buzwagi unatema njulu za kutosha. Pia Kahama ni center kubwa inayohudumia wafanyabiashara kutoka Rwanda, Burundi na...
  9. tino shinzo

    Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

    Yupo anaendesha tenki siku hizi. Pia niliwahi kusikia ana mwanae anaendesha New Force almaarufu kwa jina la Mwarabu, nae ni mtu wa mwendo kama baba yake
Back
Top Bottom