I miss those days bibi harusi anatembea kwa miguu toka nyumbani kwao to Church na from church to husband's home.
I miss those days bibi harusi anakula keki na kushushia na chai ya moto.
Kuhusu umalaya makabila yote tz ni malaya,nimekaa mikoa mingi nimeona kumbe wahaya wanasingiziwa kuhusu kuduu, watu wanagawa k bila break mf. Iringa, mara, Singida, kondoa nk unaweza usioe ati! Mhaya si lolote kwa sasa
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo.
Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.