Recent content by Tino Rushema

  1. T

    I miss those days

    I miss those days bibi harusi anatembea kwa miguu toka nyumbani kwao to Church na from church to husband's home. I miss those days bibi harusi anakula keki na kushushia na chai ya moto.
  2. T

    Kwanini Waziba wanabaguliwa na Wahaya wenzao?

    Kuhusu umalaya makabila yote tz ni malaya,nimekaa mikoa mingi nimeona kumbe wahaya wanasingiziwa kuhusu kuduu, watu wanagawa k bila break mf. Iringa, mara, Singida, kondoa nk unaweza usioe ati! Mhaya si lolote kwa sasa
  3. T

    CRDB Bank mmenikwamisha, mmenikera, mmenidhalilisha sana

    Inauma aisee, pesa yako alafu unabaniwa na system mbovu
  4. T

    Nini tafsiri ya msemo "Mungu si Athuman"

    Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo. Huyu Athuman alikuwa mtu wa namna gani kwenye maandiko?Kwanini awe yy tu asemwe si kama mungu kitabia asisemwe...
  5. T

    Zurich-Switzerland: Fifa Ballon D'Or 2014 award

    Nilijua atapita, Mess alikuwa Majeruhi muda mrefu
Back
Top Bottom