Kitu nachukia kwanni hafanyi sherehe kusherekea ushindi mkubwa kwa kumaliza hao maadui kwani anamwogopa nanii..
Fanyeni tamasha kubwa mcheze music huku mmebeba picha za hao waliotaka kuangamiza taifa wakiwa barabaran wamekufa mkisifu mungu wenu Allah.
Ni kama police ili ubakie kwenye nafasi uliyopewa jukumu la kwanza ni kupambana na chadema kwa kila hali na ukifanya makosa unaweza porwa nafasi hiyo na kupewa kichaa mwingine ambae ataweza itumia vizuri..
Africa tulihitaji uhuru wa kiraiya ila sio uhuru wa kijitawala kiserikali tunahitaji...
Jamaa ni kama wamechaguana wajinga kuongiza nchi mpaka leo tunamaliza miezi mitatu bado ni majibizano tu huyu anamjibu Kitima yule anamjibu warioba.
Sijui nani anawadanganya kuwajibu kwao ndio kutaleta ahuweni kwenye taifa hili linalopotelea gizani.
Ye angejazibu kuchambua report ya DW kuwajibu hawa watu wanaoshauri njia nzuri ya kumaliza matatizo yaliyopo na yaliyotokea kunawafanya waonekane wajinga zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.