Recent content by Timber TZA

  1. Timber TZA

    SoC01 Huduma kwa wateja Mkoani Mara

    Mkoa wa Mara una watu wenye kabila tofauti na nyingi ingawa matamshi yao kwa asilimia kubwa hurandana kwani huwa katika hali ya ukali. Endapo kama wewe siyo mwenyeji wa Mkoa huo unaweza kustaajabishwa jinsi wenyeji wanavyowasiliana. Matharan kwenye biashara husadikiwa kuwa mteja ni mfalme...
  2. Timber TZA

    Hatua kali zichukuliwe wauguzi wanaofanya mikakati ya upasuaji wajawazito ili wapige pesa Hospitali ya Butiama

    HATUA KALI ZICHUKULIWE WAUGUZI WANAOFANYA MIKAKATI YA UPASUAJI WAJAWAZITO ILI WAPIGE PESA HOSPITALI YA BUTIAMA Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini amemtaka mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuchukua hatua kali kwa watoa huduma za afya watakaobainika wakifanya mikakati ya kuwazalisha kwa njia...
  3. Timber TZA

    Mbunge butiama "Sikoseli tishio kiagata"

    Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini amewataka wananchi kufanyiwa vipimo kabla ya kuoana kama waelekezavyo watoa huduma za afya ili kupunguza tatizo la ueneaji wa ugonjwa wa sikoseli ambapo umekuwa tishio kwa wananchi wa Tarafa ya Kiagata. Akizungumza mara baada ya kutembelea na kukagua...
  4. Timber TZA

    Erick Shigongo awa Mwanafunzi bora Chuo cha Tumaini

    Ni vigezo gani vinatumika na kujiunga hapo maana nimeona kama hina pesa na umaarufu huruhusiwi+
Back
Top Bottom