Na utashangaa jinsi Watanzania wanafiki watakavyo shangilia. Sababu anaweze sema kuwa hiki kiti hakimfai huyo mama tunahitaji katiba mpya na uchaguzi mpya ndani ya miezi mitatu ,nani atapinga Tanzania? Wote watashangilia.
Shida ita tokea mkuu wa Mjeshi atakapo tangaza kuwa huyu mama atarudi Tanzania kama raia wengine na si mkuu wa nchi kama Idi Amini alivyo fanya KWA Obete miaka hiyo.
Voicer wewe ni muelewa sana , Samia ni mwana siasa ata pita lakini Tanzania itabaki pale pale. Raisi una acha ikulu kwenda kutangaza film za utalii labda hujui kazi yako.
Umesahau The Netherlands siku ya kuzaliwa ya king kila bidhaa ina uzwa bei chini na free day nenda haraka nunua unacho taka, tena tuna amka mapema sana kuwahi soko. Na ishi hapa miaka 25 sasa ni mtanzania mke Mholanzi watoto mchanganyiko.
The best speach of Ndugai, hata kama ata toka pumzika kwa amani, watanzania wata kukumbuka kwa hotuba hiyo. Ulikuwa wapi muda huo wote kuongea kama vile?
kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8, hapa sija kuelewa kwa hiyo nakosa imani na data zako, unamanisha Tshs 2,653.8 ni sawa na dollar 1,156.8 au? sababu kama sikosei dollar moja ni karibu na elfu mbili za Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.