😁😁Hapo kwenye km nilitype kama kipofu ,nilitaka kamaanisha imetembea km 75k hiyo per hour nimejikuta tu nimeandika utadhani nasolve mathematics au geography ....sasa nipigie au nipe namba yako dm nikupange kitu tuelewane kuhusu price
Kaka ongeza kidogo ukaribie 15 uibebe, ila kama una 12 tu ipo gari nyingine kama hiyo ila namba D ,nicheki kwa kunipigia au whatsaap nkutumie picha nayo nzuri
Pata nyaraka zenye viwango vya kimataifa sasa!📄 Kwa kuandaliwa:-
1. Business & Project Proposals Miradi: Kituo cha yatima (Orphanage), Usafi wa mtoto wa kike (Girls hygiene), n.k.Lengo: Kuomba fedha za ufadhili (Grants/Funding).Bei: Makubaliano kulingana na ukubwa wa kazi.
2. 📝 CV & Resume za...
Product Type:
Samsung 32-inch LED TV (Series 4, e.g., UA32J4003).
Key Specs: 1366 x 768 resolution, Dolby Digital Plus, 2 HDMI ports, 1 USB port.
Status: Used like New….imetumika kama mpya.
Charger: AC/DC Adapter
Bei: 250,000/=
Location: Chanika!
Simu: 0716161683
SING SUNG -32-inch LED TV Technology .
Ina:
2 HDMI ports, 1 USB port, 1 VGA port, AV input, and RF input.
Bei: 160,000/=
Location: Chanika
Simu: 0716161683
KILUVYA-MAKURUNGE
1. Karibu na mitaa mipya inayojengwa
2. Nguzo za umeme zimepita
3. Kwa Ramani ya Wizarani Main Road imepita kiwanjani hapo
4. km 4 kutoka Morogoro road
5. Kiwanja kimepimwa
6. Panafaa sana kuweka hardware sbb mitaa ndo inajengwa jengwa au kiwanda cha tofali au shule
Ukubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.