Recent content by TihZ

  1. TihZ

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Naweza kumtumia mtu app niliyo download toka playstore via bluetooth...?.

    Ndio unaweza ila nahisi ni kwa baadhi ya simu mfano huawei y330
  2. TihZ

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka ulikuwa wapi kwa mara ya kwanza unaona tamthili ya hawa jamaa?

    sio kwamba ni Joo Won?
  3. TihZ

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sisi tu Watanzania au kuna wengine wapo hivyo pia?

    pole na kama unaona nilichoandika ni pumba tambua wewe ni kuku..loh2
  4. TihZ

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sisi tu Watanzania au kuna wengine wapo hivyo pia?

    Mimi binafsi navutiwa na mambo ya graphics, hasa kuchora katuni kwa kutumia adobe illustrator (ingawa sijasomea bali najifunza kupitia tutorials mbalimbali). Nilitoa wazo katika kundi fulani facebook, kwamba tuunde kundi la whatsapp ambapo tutakuwa tunasaidiana na kuelekezana kuhusu mambo hayo...
  5. TihZ

    JamiiForums Tanzania Tujadili hili

    Ni changamoto zipi ambazo mwanalugha anaweza kuzipata anapojishughulisha na semantiki na pragmatiki.
  6. TihZ

    JamiiForums Tanzania Maktaba ya mtandaoni kwa wanafunzi wa vyuo

    ngoja tuiangalie
  7. TihZ

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau

    Ngoja nijaribu kufanya hivyo
  8. TihZ

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau

    Nina smartphone,Huawei Y300 tatizo lake imekuwa inaniletea ujumbe huu "Unfortunately, the process com.google.process.gasps has stopped" kiasi kwamba nashindwa kuitumia kabisa na nimejaribu factory reset lakini bado city havifutiki. Mwenye wazo/msaada naomba nisaidiwe.
  9. TihZ

    JamiiForums Tanzania nisaidieni wadau..tafadhali

    Nilikuwa natumia adobe illustrator CS6 ila muda wake wa trial umeisha na nimejaribu kutumia crack files bila mafanikio yoyote je mnaweza kunisaidia niweze kuitumia application hiyo.
  10. TihZ

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Tatizo ni kwamba zinakataa,nilitumia trial version muda wake umeisha na nimejaribu kudownload na kufuata maelekezo lakini bado inagoma.Je hakuna njia nyingine maana nimehangaika bila mafanikio
  11. TihZ

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Habari wadau nahitaji msaada,naomba mwenye serial numbers za adobe illustrator CS6 anisaidie.
  12. TihZ

    JamiiForums Tanzania Whatsapp calling activation

    Shukrani mdau nimekuwa activated...👍
Back
Top Bottom