Baba kapigiwa simu, Kaambiwa kama wataka mtoto wako lete dola elfu ishirini.
Baba mtu akauliza: Mtoto mnampa chakula?
Mtekaji akajibu: Tunampa.
Baba kauliza tena: Mnampa maji ya kunywa?
Mtekaji akajibu: Tunampa.
Baba kauliza tena: Mnampa pakulala?
Mtekaji kajibu: Ndio.
Baba akasema: Kama...
Mkuu umenikumbusha.
Zamani Babu alinikanya nisije kuoa Ukoo fulani ktk kijiji chetu kwa sbb wana udhaifu wa kujamba jamba hata mbele zawatu,yaani ukoo mzima kazi yao ni kujamba na hawawezi kujizuia,kwa hio alinitahadharisha nikae nao mbali kwa kuwa hawana ustaarabu.
Aliyo nionya Babu...
MIAKA 40 iliyopita hapo tarehe 7 Aprili, 1972 Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume aliuwawa kwa kupigwa risasi katika jengo la Makao Makuu ya Chama cha Afro-Shirazi hapo Kisiwandui mjini Zanzibar. Katika mfululizo wa makala haya mwandishi TIGO PESA anaelezea historia ya...
NIMEMSIKILIZA vema Tundu Lissu. Amesema bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.
Wasiomwelewa, au wanaoogopa kujibu hoja zake, bila shaka kwa kutokuwa na majibu, wamekimbilia kusema kwamba Lissu ametukana waasisi wa nchi.
Lissu anauliza maswali magumu. Wanaojaribu kumpinga wanatoa majibu...
AK 47 ni bunduki ya kivita iliyotengezwa Russia. Jina lake halisi ni Avtomat Kalashnikova. Mara ya kwanza ilitumika mwaka 1949. Mgunduzi wa bunduki hii ni Mikhail Kalashnikov na toleo la kwanza lilikuwa mwaka 1949-1959. Ina uwezo wa kubeba risasi 30 kwenye magazini yake. Hata hivyo kuna...
1961 serikali ya mashariki ikiongozwa na Walter Ulbricht (30 June 1893 – 1 August 1973) iliona ni lazima kuzuia wakimbizi wengi kwenda Berlin Magharibi.
Hapa walikata shauri ya kutenganisha sehemu mbili za jiji kwa njia ya ukuta na fensi. Walipata kibali cha uongozi wa Umoja wa Kisovyeti...
Ukutawa Berlin (Kijerumani Berliner Mauer) ulitenganisha sehemu mbiliza jiji la Berlin (Ujerumani) kuanzia 13 Agosti1961 hadi 9 Novemba1989.
Mashariki ya Berlin ilikuwasehemu ya nchi ya kikomunisti Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani na magharibi ya jiji ilikuwa chini yamamlaka ya Marekani...
Siri: UVCCM Inampango Wakuchoma tena Makanisa kama Ukawa watafanya mikutano Zanzibar.
Ndugu Wazalendo wa Zanzibar na Wale wa Tanganyika/Tanzania Bara ambao wanaipendelea Nchi yetu hii impya ya Tanzania kuwa na Umoja, amani, Utulivu na Muungano wenye Muundo wa Serikali 3 ambao utaondoa kero na...
Siri: UVCCM Inampango Wakuchoma tena Makanisa kama Ukawa watafanya mikutano Zanzibar.
Ndugu Wazalendo wa Zanzibar na Wale wa Tanganyika/Tanzania Bara ambao wanaipendelea Nchi yetu hii impya ya Tanzania kuwa na Umoja, amani, Utulivu na Muungano wenye Muundo wa Serikali 3 ambao utaondoa kero na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.