Recent content by Tiger B

  1. Tiger B

    PreGE2025 Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu

    Hiki kizazi cha Wanasiasa kilichopo CCM ni cha hovyo sana. Imagine, Makamba, Nape, Mwigulu. Huyu Mama simzungumzii maana alikutana na Urais barabarani. Tunataka Rais aliyehustle. Rais anayeelewa maisha ya Kitanzania yalivyo. Siyo hawa uchwara waliokulia ikulu na kusoma nje ya nchi. Ukiwaambia...
  2. Tiger B

    Kuna jambo haliko sawa mwilini mwangu, lakini madaktari wanalichukulia poa

    Ninahisi kizunguzungu nikiinama au kutembea (siyo kikali sana). Umri ni 30s. Nimekazana kula kweli since then, but changes ni kidogo. Kiukweli kuna kipindi nimepitia hapa nyuma stress zikanipiga kidogo. At the moment sina. Mazingira ninayoishi ni ya kawaida ie hewa ni safi na mazingira yenyewe.
  3. Tiger B

    Kuna jambo haliko sawa mwilini mwangu, lakini madaktari wanalichukulia poa

    Umuofia kwenu Wakuu. Ni zaidi ya wiki sasa mwili wangu ni dhaifudhaifu. Yaani balansi ya mwili haijakaa sawa, japo ninaweza kufanya mambo yangu bila tatizo. Nimepima vipimo zaidi ya 10 mpaka sasa. Miongoni ni full blood picture ambayo ilionesha kinga za mwili ziko chini, ie white blood cells...
  4. Tiger B

    PreGE2025 Mrisho Gambo ni Rais ajaye

    Rais wa ukoo wenu labda.
  5. Tiger B

    Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

    Mwenyekiti Mbowe una heshima moyoni mwangu.
  6. Tiger B

    3.5 white blood cells count iko sawa?

    Mods naombeni mfute huu uzi.
  7. Tiger B

    Samia Suluhu baada ya kutembelea ziara Korea Kusini, wamarekani watoa uzushi

    Katika hili ninawaamini Wamarekani.
Back
Top Bottom