Hiki kizazi cha Wanasiasa kilichopo CCM ni cha hovyo sana. Imagine, Makamba, Nape, Mwigulu. Huyu Mama simzungumzii maana alikutana na Urais barabarani. Tunataka Rais aliyehustle. Rais anayeelewa maisha ya Kitanzania yalivyo. Siyo hawa uchwara waliokulia ikulu na kusoma nje ya nchi. Ukiwaambia...
Ninahisi kizunguzungu nikiinama au kutembea (siyo kikali sana). Umri ni 30s. Nimekazana kula kweli since then, but changes ni kidogo. Kiukweli kuna kipindi nimepitia hapa nyuma stress zikanipiga kidogo. At the moment sina. Mazingira ninayoishi ni ya kawaida ie hewa ni safi na mazingira yenyewe.
Umuofia kwenu Wakuu.
Ni zaidi ya wiki sasa mwili wangu ni dhaifudhaifu. Yaani balansi ya mwili haijakaa sawa, japo ninaweza kufanya mambo yangu bila tatizo.
Nimepima vipimo zaidi ya 10 mpaka sasa. Miongoni ni full blood picture ambayo ilionesha kinga za mwili ziko chini, ie white blood cells...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.