Recent content by Tiganize

  1. T

    Msaada kupata betri ya laptop aina ACER

    Mwenye kioo cha Acer E1-531 nahitaji Niko kahama
  2. T

    Chama cha ACT Tanzania, kimetangaza rasmi kuwa muasisi wa chama hicho ni Zitto Kabwe

    Zt kuama chama kuna shida gani tambua nae ni binadamu ana haki na uhuru wa kuama chama au kuanzisha chake kwa kufuata taratibu lakini wengine munaumia sana lin kakwambiaa kuwa yeye ni ccm kama mnafiki sio wewe? Mtakoma umesahau kabla ya vyama vingi tulikuwa wana ccm leo kuna vyama vingapi...
  3. T

    SAUT campus ya Mtwara kimenuka

    Inapofika sehemu maisha ya watu yanakuwa hatalini kisa chakula kuna haja ya kuchukua mbadala na ndicho SAUT tumefanya leo kudai uhai wetu. Lazima selikari iwe makini na maisha ya watu.
  4. T

    Nimekata tamaa na CHADEMA!

    Siasa za matusi zimechosha vijana wanahitaji kujengwa kimaadil na sio kudidimizwa na sasa hawako tial tena kutumika kwa maslah binafsi.
  5. T

    Anguko la CHADEMA lipo njiani

    Wahenga husema siku za mwizi ni arobain na baadae jamii itakuumbua ndicho kilicho ipata chagadema.
  6. T

    CHADEMA Bunda yaimaliza kabisa CCM katika uchaguzi wa udiwani

    Mdau ungeweka picha zote tuone chadema na ccm tuone sio moja tu?
  7. T

    serikali yawaongeza mishahara WALIMU wake

    Acha utani kwenyemaisha ya watu jamani!;(
  8. T

    Vijana tuko wapi?

    Nidhahili kabisa taifa linawategemea vijana kama wakombozi wa kesho, chakushangaza watanzania hususani vijana bado wanajitenga na siasa kwa kutegemea kuwa mabadiliko yataletwa mbali na siasa. Kwa kutambua kwamba mfumo wa utawala ndo nuru ya mabadiliko uijana hatuna budi kuwa chachu ya...
  9. T

    Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP waelekea Mtwara kusaka suluhu!

    Kweli serikali imetuchoka wananchi imesubili watu wafe ndo ilete ulinzi na kuja kufanya suluhu wakazi wa mtwara msilubunike.
  10. T

    Mtwara: Mbatia ashushwa jukwaani, ni kutokana na kauli yake juu ya suala la gesi

    Hakika kwa kilichotokea ni dhahiri kuwa sasa Wanamtwara wako makin zaid ya kawaida Mbatia awe fundisho kwa wengine
Back
Top Bottom