Recent content by tigananaJr

  1. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    😂😂 Inawezekana kweli...jinga kabisa
  2. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    ndio ni mzoefu but simuelew nia yake coz ni NDUGU YANGU wasiwasi wangu ni kwann iwe hivo na anajua sisi ni ndugu? Umeeelewaaaa?
  3. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    Thanks broo but siko home permanent nilipata likizo tu and nikawa nauguza
  4. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    Siko hapa parmanent...but ni home pia so anytime
  5. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    Yaaaap Naakili zangu timamu so naelwa whats is going on ndoo maana nimeamua kulifikisha hapa so thanks kwa ushaur
  6. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    Aaaah sasa yupo hapa kwa muda tu
  7. tigananaJr

    Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

    Habarini wadau. Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama, amemaliza Diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalimu kipindi hichi cha sikukuu Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu...
  8. tigananaJr

    Naitaji Maoni: Kozi ya Pharmacy ni nzuri kusoma katika kada za afya na je ina ajira na faida zaidi?

    Habarini Kuna rafiki yangu knishauri kuchukua hiyo coz sasa niliitaji kuifahamu vizuri kama inaweza kunisaidia hapo baadae hivyo basi mwenye uzoefu au ambaye anaifaham hii coz anishauri! Nilitaka kusoma MD lakini sikua na credit za kupata but kwwnye pharmacy ziko poa. Naombeni ushauri wenu...
  9. tigananaJr

    Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

    Habarini wa na JF kama nilivyoeleza hapo juu nina hilo tatizo takriban mwaka wa 5 sasa hua linanitokea mara nyingi nikiwa niko kweny tension ya kufanya kitu flan au nikiwa bussy ndo mara nyingi linatokea... Sasa nimejaribu kufatilia mitandaoni lkn sijapata solution ya kueleweka coz hii hali...
  10. tigananaJr

    Je nitapata diploma ya pharmacy?

    yaaa bila physics siku hiz brother huwez kupata coz nzurtu ya afya!!
Back
Top Bottom