Je nitapata diploma ya pharmacy?

Je nitapata diploma ya pharmacy?

Oya fanya kutafuta "KILIMANJARO SCHOOL OF PHARMACY (KSP) Kipo powa sana hautojutia..... kipo KCMC
 
Mnangaika nyie vijana na macourse magumu ayo ajira zenyewe akuna kasomeni bcom tuu co lazima ayo macourse ya afya kwanza gharama...someni hata account,procurement,business administration mbn kazi zake zipo nyingi sana afu pia co kozi ngumu shuleni mishahara yake kazini mikubw kuliko awo watu wa afya afu pia mishemishe kibao za pesa 50k,au 30k per day mtu ukosi me nashangaa mnangaika na iyo micourse ya afya...
Hayo makozi kwa sasa hayaajiriki tena, kuna maelfu kwa maelfu ya hao wahitimu wamejaa mtaani bila ajira wakiwa busy na mabahasha ya vyeti vya hizo kozi wakisaka ajira.

Ni msoto tu.
 
Kwa utaratibu wa sasa, Diploma ya Phamacy inakutaka uwe na Sifa hizi kuu mbili.

1/Uwe na Credit(yaani CCC) za O-level kwenye PCB, na uwe umefaulu Mathematics O-level angalau D.

2/Uwe umesoma A-level masomo ya Sayansi yenye somo la Chemistry ndani yake(PCB, PCM, CBG, CBN) na kufaulu angalau Division Four.....

Hicho kigezo cha pili ndio kina utata, kimekaa kimagumachi fulani.
 
Back
Top Bottom