tigananaJr
Member
- Sep 12, 2017
- 15
- 13
Habarini
Kuna rafiki yangu knishauri kuchukua hiyo coz sasa niliitaji kuifahamu vizuri kama inaweza kunisaidia hapo baadae hivyo basi mwenye uzoefu au ambaye anaifaham hii coz anishauri!
Nilitaka kusoma MD lakini sikua na credit za kupata but kwwnye pharmacy ziko poa.
Naombeni ushauri wenu wapendwa!🙍
Kuna rafiki yangu knishauri kuchukua hiyo coz sasa niliitaji kuifahamu vizuri kama inaweza kunisaidia hapo baadae hivyo basi mwenye uzoefu au ambaye anaifaham hii coz anishauri!
Nilitaka kusoma MD lakini sikua na credit za kupata but kwwnye pharmacy ziko poa.
Naombeni ushauri wenu wapendwa!🙍