Huyo Malasusa ametokea kuwa kero ingawaje yeye ndiye kiongozi wa Dayosisi. Amefanya madudu mengi ya ovyo lakini inaonekana waumini hatuna ujanja wa kumtupa nje. Nakumbuka mwaka fulani alikataa kusoma waraka wa maaskofu wakati wa Pasaka baada ya kutishwa na Makonda kwamba waraka ukisomwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.