Recent content by Tiba

  1. Tiba

    GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa: Uteuzi wa Luhaga Mpina ni batili kisheria, hastahili kuwa Mgombea Urais kupitia ACT

    Amemaliza kazi yake aliyotumwa. Mbona the same principle haitumiki kwa mgombea wa CCM ambaye alipitishwa kwa mlango wa nyuma?
  2. Tiba

    PreGE2025 Video, Musoma kwa kauli moja: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi

    Well said. Kuna haja gani kushiriki uchaguzi ambao chama fulani kinajiamulia kinavyotaka kwa msaada wa tume na polisi.
  3. Tiba

    Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

    Yule mtoto ni mshenzi kupita kiasi. Reporting zake ziko biased na ni mshirika mzuri wa watesi wa wapenda haki.
  4. Tiba

    Ethiopia: Updates on war against TPLF

    Misri ni kati ya nchi zinazowapa support Watigrayi kwa sababu ya Bwawa la kuzalisha umeme ambalo Abiy amelirithi kutoka utawala uliopita
  5. Tiba

    KKKT Mashariki na Pwani lawamani kwa kuhamisha hovyo Wachungaji

    Huyo Malasusa ametokea kuwa kero ingawaje yeye ndiye kiongozi wa Dayosisi. Amefanya madudu mengi ya ovyo lakini inaonekana waumini hatuna ujanja wa kumtupa nje. Nakumbuka mwaka fulani alikataa kusoma waraka wa maaskofu wakati wa Pasaka baada ya kutishwa na Makonda kwamba waraka ukisomwa na...
  6. Tiba

    Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

    Tuwekeeni link ya kuangalia mechi kupitia mtandao
  7. Tiba

    Tanzania yatia aibu huko Olympic

    Aibu. Na bado tunasema tunayo wizara ya michezo na utamaduni. Kazi yao imebaki kuwafungia wasanii tu basi.
  8. Tiba

    Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

    Alitangaza yeye kwamba amepata chanjo na hakuna aliposema na kaka yake pia alipata chanjo. Tusichanganye mafaili
  9. Tiba

    Simba wababe Kinshasa, Yanga kuendeleza Ubabe wao kwa rekodi hapo Sokoine vs Mbeya City

    Jamani mbona Yanga wanacheza mpira wa ovyo namna hiyo? Wana nini leo?
  10. Tiba

    Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

    Weka link ya hiyo public address hapa
Back
Top Bottom