Recent content by Tiba salama

  1. Tiba salama

    Faida za uyoga mwekundu (ganoderma)

    Picha zipo hapo juu
  2. Tiba salama

    Faida za uyoga mwekundu (ganoderma)

    Uyoga mwekundu au ganoderma ni aina mojawapo ya uyoga ambao ni mgumu na wenye ladha uchungu umekuwa ukitumiwa kwa miaka mingi na nchi kama vile China kama dawa na kuboresha afya kwa ujumla kutokana na idadi kubwa ya virutubisho vilivyomo katika uyoga huu. Uyoga huu unaaminika kwa kusaidia...
  3. Tiba salama

    Badili tabia zako na mtazamo wako ufanikiwe

    Hakuna kiingilio ni free hiyo semina
  4. Tiba salama

    Badili tabia zako na mtazamo wako ufanikiwe

    Hakuna anae kwambia uache kazi yako
  5. Tiba salama

    Badili tabia zako na mtazamo wako ufanikiwe

    . "Huwezi kujiamulia maisha yako ya baadae, Bali una uwezo mkubwa wa kuamua kubadili tabia zako za sasa, kisha tabia zako ndizo zitakazokuamulia maisha ya ubadae wako". KIVIPI? Je, tabia zako zinakusaidia wewe kutimiza malengo ya mafanikio yako? Je, watu unaoongea nao na kushinda nao kila siku...
  6. Tiba salama

    Njia Rahisi ya kujua sifa za Computer yako

    Sijakulazimisha kuangalia. Coz sijasema kuwa lazima uangalie.
  7. Tiba salama

    Njia Rahisi ya kujua sifa za Computer yako

    Sijakulazimisha kuangalia. Coz sijasema kuwa lazima uangalie.
  8. Tiba salama

    Njia Rahisi ya kujua sifa za Computer yako

    Kushusha notes sio tatizo. Tatizo hiyo ni tutorial so ni practical one. Kuna step za kufata lazima mtu aone kwa vitendo
  9. Tiba salama

    Njia Rahisi ya kujua sifa za Computer yako

    Ndugu ni practical sasa nikiandika utajuaje steps
  10. Tiba salama

    Kuvimba kwa Tezi Dume (Benign Prostate Hyperplasia BPH) Featured

    -Hii ni tezi ya wanaume yenye sifa zifuatazo. ~Ina umbo km yai(oval shape) ~Ina ukubwa wenye vipimo hivi, upana 4cm na unene 3cm ingawaje hivi vipimo vinatofautiana kwa kila mwanaume. ~Tezi hii ipo inazunguka shingo ya kibofu cha mkojo na kuzunguka mrija unaopeleka mkojo nje(urethra) ~Tezi hii...
  11. Tiba salama

    Njia Rahisi ya kujua sifa za Computer yako

    Ijue Njia rahisi ya kujua sifa na uwezo wa Computer yako.
  12. Tiba salama

    Uchaguzi mdogo majimbo ya Ukonga na Monduli: CCM yashinda majimbo yote!

    Haya hapa matokeo ya uchaguzi MONDULI
  13. Tiba salama

    EBOLA VIRUSES DISEASE

    Ebola ni ugonjwa wa maambukizi ambao kimsingi kabisa ulipatikana kwa wingi nchini Uganda na asili ya ugonjwa huu ni kutokea kwa wanyama hasa maziwa, nyama, au damu. Dalili zake ni : ~homa(fever) ~maumivu makali ya kichwa tena ya Mara kwa Mara (several headache) ~maumivu ya misuli na mifupa...
  14. Tiba salama

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja...
Back
Top Bottom