Kauli kama hizi maranyingi hutolewa na wanawake waliojikatia tamaa ya maisha, hawana mbele wala nyuma, tumaini pekee alilonalo ni ndoto ya kuolewa na mwanaume mwenye pesa, hii huwapelekea kula kila aina ya dyudyu ya wanaume wenye pesa, na baadae kuchakaa, mwishoni kuna probability ya kumpata...
Wakuu na mimi niko interested kufanya biashara ya madini, ila knowledge niliyonayo kuhusu madini, comments zenu zinaonesha mna-experience na biashara ya madini, mpaka sasa sijafanikiwa kupata information za kutosha, kuhusu namna ya kupata mzigo na soko la kuuzia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.