Heshima kwenu wakuu!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kufungua kampuni ya ya ujenzi, nataka kufanya both building & civil works, naomba kufahamishwa juu ya mambo makuu mawili,
1. Challenges za kazi hizi ni zipi hasa?
2. Vipi kuhusu soko la ushindani, hasa kwa mtu anayeanza?
Ahsanteni!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kufungua kampuni ya ya ujenzi, nataka kufanya both building & civil works, naomba kufahamishwa juu ya mambo makuu mawili,
1. Challenges za kazi hizi ni zipi hasa?
2. Vipi kuhusu soko la ushindani, hasa kwa mtu anayeanza?
Ahsanteni!