Recent content by thundercat8

  1. T

    Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Chasis ya gari imegongwa kwenye chasis yaani "chasis namba" ambayo haifutiki, kama una kadi ya gari inasoma hizo namba pamoja na engine namba wahofia nn lakini jitahidi urudishie unless lamchongo
  2. T

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Unadhani mtaji wa 100m kwa Tanzania DSE unakuweka kwenye percentile gani definitely kwenye top 10% in my opinion
  3. T

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Hii kitu hata stock exchange kubwa za duniani ipo inaitwa speculation na haiepukiki hata leo hii makampuni kama apple yapo overvalued kwa sababu kama hizi. Ki msingi hoja ya mtoa mada yahusu huduma mbovu za brokers, kwa upande wangu naona wanashindwa ku catch up na matumizi ya technology ndo...
  4. T

    Waislamu nijibuni haya maswali

    Sasa hata kiarabu hakipandi watajibuje hizo deep hoja zako mkuu
  5. T

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Vyama vya siri (cults) wala nyama za watu zipo kila mahali duniani nashangaa kama wachawi wa mtaani wanakula nyama za watu ni kipi kigumu kwa matajiri?
  6. T

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Hizi habari za Hilary Clinton nilianza kuzisikia zamani sana enzi Obama ndio president, alooo dunia ina mambo.
  7. T

    Ukishindwa kumiliki mjengo kama huu basi wakuchape viboko wakuue.

    Matumizi mabaya ya neno mjengo.
  8. T

    CHADEMA andaeni watu na sera za kuiongoza Tanzania. Muda wowote nchi itakuwa mikononi mwenu

    Superbug.! Wewe ni mende, mchwa, nyuki au glitch ya kompyuta?
  9. T

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    We jamaa upo unprofessional hata kama mtu alikua ana interest na hizo nyumba kufanya biashara nawewe lazima asite, huwezi tukana watu alafu hapo hapo wengine unataka wakuungishe, jifunze kutulia when provoked.
Back
Top Bottom