Kuna mafundisho yoyote yanayo wataka waumini wa kikristo wavae majoho
punguzeni chuki za kidini
Hivi mnaishi vipi na majirani zenu waislam
Munapandikizwa chuki badala ya upendo
Hayo ni mafundisho ya kibinaadam
Hakuna mungu anaefundisha kuchukia wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo tatizo la wapinzani
Wanafikiri ukiwa mpinzani
Basi lazima kazi yako ni kupinga kila kitu
Na ukiwa ccm lazima kazi yako iwe kuunga mkono kila kitu
Binafsi sijaona aliposema yeye sasa amehama ccm
Bali kama unamwelewa vizuri faizafox
Kazi yake kusimamia ukweli
Ikiwa ni nyeusi hata kwa ccm...
Kwa jinsi watu wengi wanavyo kufuatilia
Na hiyo ni kutokana uwezo wako wa kupambanua mambo
Ushauri wangu ungejikita kwenye kuelimisha na kujibu hoja za msingi
Sio kila anaekubwekea unamjibu
Kiukweli we una nafasi kubwa sana hapa jamiiforums
Zipuuzie hoja kila anaekuchokoza nje ya mada
Mwisho...
Binafsi ningependa nifafanuliwe
Wale wanaoshupalia kwa nini amekopa kwa siri ?
Kwani akikopa kwa uwazi sisi wananchi tunapata nafuu gani
Au nini tofauti kwa mwananchi serikali inapokopa kwa siri au kwsa uwazi
Maana isije kua wengi wanatanguliza ushabiki wa kisiasa hata katika mambo ya maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.